Yuko wapi Lowassa?

Yuko wapi Lowassa?

Lowassa is not a charterbox like some immature political machines.
 
Wiki hii nafikiri vijana wote na wana habari wake lukuki amewalipa subiri wiki ijayo atakavyo pambwa utafikiri analamaana katika nchi au kuna kitu substantial.
Mpiga majungu na mfitini siku zote hawanaga maendeleo, kwa mawazo mlionayo ni hakika mnaenda kuitupa hii nchi kwenye umasikini Mkubwa sana, mmeanza kutia umaskini mtu mmoja mmoja itafuata umaskini katika familia mnalizia na taifa lote tumekwisha watambua nyinyi na Mr Beer wenu na historia lazima iandikwe katika awamu hii, huyu ndio ndio atakua raisi wa kwanza kutawala nchi kwa awamu moja tu, halafu tupa kule, Beer beer nani anataka kulewa miaka 10 una mahung over. Shit.
 
Sherehe zake za Mwaka Mpya kila Mwaka tulikuwa tunakula na kunywa sana kule Monduli Pamoja na Wanamtandao wote kutoka sehemu mbalimbali Duniani!

NIPO ARUSHA, HAJAWAHI KUKOSA KUFANYA SHEREHE, NITAKUTUMIA PICHA BAADAE SHEREHE ZILIFANYIKA WATU WA KADA MBALIMBALI WALIJUMUIKA NAE ILA NI KAMA HABARI ZAKE ZIMEPIGWA KIFUNGO HIVI. (NANI HAPENDI KAZI?) BAADA YA MAPUMZIKO HAYO AMEELEKEA KENYA KWA ZIARA MAALUM.
 
Mpeleke mahakamani sababu ushahidi unao ila angalia usiwe kama yule polisi wa lissu
lissu si mwanasheria mahiri? alikusanya evidence zote..akaandika uchafu wote wa Lowassa, mara makamanda uchwara hawa wakamgeukia kumlamba miguu fisadi

Lissu hakumfungulia mashtaka miaka 8'..

mwizi na fisadi lowassa hawezi kufikishwa mahakamani..
maana yuko na wezi wenzake ambao wako CCM....

ona ibu wewe
 
Huyu Mzee ana BUSARA sana, tena ana hekima ya kushiba. Mungu ampe maisha marefu.
 
Naona huyu Mzee anapotea kidogokidogo si kawaida kukaa mda mrefu bila kuwa kwenye media. Yuko wapi. Sinema ya sembe imemalizika yeye kimyaaa.
Anasubiria zile tank ml 4 alizoagiza za mahindi kuja kugawa bure mkuu
Kati ya malofa huyu mzee no lofa kweli
 
Mheshimiwa Lowassa alipata mafua na kwa sababu immunity yake ilikuwa chini sana , amelazimishwa kupumkzika na kuvuta nguvu. Na hili ni jambo la kawaida kwa mtu wa unri wake na mtu who had suffered sever illness on the recent past.

Tumuombee mungu ampe afya njema,
 
Unayemuulizia Lowasa aliko ,ili iweje?
Baba yako umemuuliza alipo Leo hii?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom