THINKINGBEING
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 2,779
- 1,304
Anachunga tu ng'ombe wake.
Hana shida na siasa?Ana mkee wake halafu hana shida na siasa zenu za maji taka na uchwara wenu
Si alishatimiza ahadi? Hukuona picha?Umesahau aliahidi nini kua akishindwa ataenda wapi na kufanya nini?
Lets hope soKIMIYA KIKUU KINA MSHINDO.
Kura yanguUmesahau nn tena Mkuu kwa edo
Siasa za kwako na chama dola za maji taka hana shida nazo.Hana shida na siasa?
Hizo subirini mwakaniSherehe zake za Mwaka Mpya kila Mwaka tulikuwa tunakula na kunywa sana kule Monduli Pamoja na Wanamtandao wote kutoka sehemu mbalimbali Duniani!
Huko miyoni ni mkoa gani mkuuYupo miyoni
Alimfisadi mom yako nini funguka au mpeleke mahakamani dada yangu.Lowassa lile kubwa la mafisadi?
hatoi tena misaada?
Alichunga siku moja kutimiza ahadiAnachunga tu ng'ombe wake.
Siasa zisizo za maji taka zitakuwa za maji tope. Umeshawahi kuona siasa safi? Wapi usa?Siasa za kwako na chama dola za maji taka hana shida nazo.
Hana desturi ya kuongea pumba. Ni few words which are rich of wisdomNaona huyu Mzee anapotea kidogokidogo si kawaida kukaa mda mrefu bila kuwa kwenye media. Yuko wapi. Sinema ya sembe imemalizika yeye kimyaaa.
WapiAnajiandaa kurudi alikotoka!
AlikokatwaWapi
Hahaha unaleta sport kwenye jambo siriazAlikokatwa
remember huyo ni baba wa watu, babu ya watu nk! na isingekua vuzuri wewe ucoment hivyo unajulikana kwa kuwa waliotoka CHADEMA Wakaenda ACT na kuishia CCM ni wachache na wanajulikana! you are easily treceble Mkuu! Au unataka nianze kutoa hints?Mimi mwenyewe nimeshangaa ,Ukimya wake huwa unatisha
Hahaha nasikia ya kwako alinyang"anywa na sizonjeKura yangu
sorry that was intended for Waberoya!Mimi mwenyewe nimeshangaa ,Ukimya wake huwa unatisha