Yuko wapi Lazaro Nyalandu?

Yuko wapi Lazaro Nyalandu?

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,606
Huyu kada kindakindaki wa CCM amepotelea wapi siku hizi? Yupo kimya sana.

Haonekani Jimboni, haonekani Twitter, haonekani Lumumba na White House Dodoma.

Yuko wapi huyu mwanakwetu?

Kitambo sana
 
Huyu kada kindaki ndaki wa CCM amepotelea wapi siku hizi ? Yupo kimya sana.

Haonekani Jimboni , haonekani Tweeter , haonekani Lumumba na White House Dodoma...

Yuko wapi huyu mwanakwetu ?

Kitambo sana
Yupo Arusha vipi unamdai?
 
Hivi aliyekua akipeleka suti kufuliwa Ulaya ni nani.
 
Angebaki CHADEMA , 2025 akechukua Jimbo la Singida. Sijui ana kiwewe gani akarudi CCM .
 
Aliunga mkono juhudi lakini mpaka leo bado hajalamba teuzi.
Alikuwa CCM na mbunge, alipoenda chadema aliunga mkono Nini? Karudi CCM mara eti kaunga mkono juhudi hajalamba uteuzi! Chadema hovyo.
 
Huyu naye kashapotea...hajui anachokifanya kama mimi tu.
Huyu kada kindaki ndaki wa CCM amepotelea wapi siku hizi ? Yupo kimya sana.

Haonekani Jimboni , haonekani Tweeter , haonekani Lumumba na White House Dodoma...

Yuko wapi huyu mwanakwetu ?

Kitambo sana
 
Huyu kada kindaki ndaki wa CCM amepotelea wapi siku hizi ? Yupo kimya sana.

Haonekani Jimboni , haonekani Tweeter , haonekani Lumumba na White House Dodoma...

Yuko wapi huyu mwanakwetu ?

Kitambo sana
Labda ameenda kwenye uzinduzi wa ile mbuga feki ya 'african safari' kule uarabuni, yeye si ndiye alikuwa anawauzia wanyama wetu wakati akiwa waziri wa maliasiri na utalii. Kama hawakumpa u-shareholder basi atakuwa ni bwege wa kutupwa.
 
Huyu kada kindaki ndaki wa CCM amepotelea wapi siku hizi ? Yupo kimya sana.

Haonekani Jimboni , haonekani Tweeter , haonekani Lumumba na White House Dodoma...

Yuko wapi huyu mwanakwetu ?

Kitambo sana
Anasubiri kuteuliwa balozi kama alivyoahidiwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom