Yuko wapi Lazaro Nyalandu?

Yuko wapi Lazaro Nyalandu?

Huyu kada kindaki ndaki wa CCM amepotelea wapi siku hizi ? Yupo kimya sana.

Haonekani Jimboni , haonekani Tweeter , haonekani Lumumba na White House Dodoma...

Yuko wapi huyu mwanakwetu ?

Kitambo sana
Yuko ghalani
 
Anakula maisha mitaa ya Ngaramtoni ya juu Arusha
 
Huyu kada kindaki ndaki wa CCM amepotelea wapi siku hizi ? Yupo kimya sana.

Haonekani Jimboni , haonekani Tweeter , haonekani Lumumba na White House Dodoma...

Yuko wapi huyu mwanakwetu ?

Kitambo sana
Ametulia anasubiria uteuzi muda wowote!.
 
Pesa alizopata akiwa waziri wa utalii anaweza akaishi miaka 50 bila kufanya kazi atakuwa Dubai na yule ndege wake.
 
I like his silence...... Imekaa vema sana..... Utu ndio kila kitu.....
 
Huyu kada kindakindaki wa CCM amepotelea wapi siku hizi? Yupo kimya sana.

Haonekani Jimboni, haonekani Twitter, haonekani Lumumba na White House Dodoma.

Yuko wapi huyu mwanakwetu?

Kitambo sana
Angekuwa Kada kindakindaki angekatwa Mkia?
 
Wakati wengine mkimsaka Nyalandu Mimi nauliza

Wako wa LUKUVI na mshkaji wake
KALAMAGANDA?
Zile post za ikulu wanaendelea nazo ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom