Yuko wapi Komandoo Salmin Amour?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,551
Reaction score
272,286
Wakuu heri ya sikukuu ya pasaka na poleni sana kwa mauaji ya askari wetu yaliyotokea huko Rufiji (Namuomba Mwenyezi Mungu aziweke roho za askari wetu mahali pema peponi, Amina)

Baada ya salamu hizi naomba kufahamishwa alipo nguli wa siasa za Zanzibar , Mh Salmin Amour Juma , nimejitahidi sana kuchungulia kwenye vikao vya ccm vilivyofanyika hivi karibuni Dodoma na kwingineko sijamuona .

Komandoo yuko hapahapa au kaenda nje ya nchi?
 
Komandoo yuko hapahapa au kaenda nje ya nchi ?
Komandoo yupo na mzima ila amepungukiwa na nguvu ya kuona.Yumkin AhlalBadr na sala kuapiza za Wapemba za kila siku zinahusika na hili
nimejitahidi sana kuchungulia kwenye vikao vya ccm vilivyofanyika hivi karibuni Dodoma na kwingineko sijamuona .
Hio ndio shukuran i na fadhila za a za CCM Bara ni ni mateke. Wakimaliza haja na shida ya kuwatumikia kwa maslahi ya Tanganyika unabaki kuwa takataka mpaka ufe waje na Bendera ya kijani kuja kukebehi kwa kukupa na kumiminia sifa usio kuwa nazo na zisizo kuwepo. Rais Jumbe na Rais Iddrissa waliyaona hayo mapema ndio wakaweka wosia kuwa hawatki dhihaka za kikafiri kufanywa kwenye maziko yao.
 
Aiseeee!!!! CCM ni chama kikatiri sana !
 
Na bado kuna watu wakenda ktk mazishi ya Mzee Jumbe na chepe la green!
 
Haoni jamani nilimuona nyumbani kwake pale uwanja wa ndege kule chukwani sema yeye hakai pale
 
Reactions: SDG
... Aisee kumbee!!!
 
Komandoo Salmin Kapotea katika Siasa kama Nyimbo za Komandoo Hamza Kalala "zilivyopotea" katika anga za Muziki wa dansi..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…