bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,107
Igweee,
Poleni na msiba watanzania wenzangu!!
Baba yetu na aliyekuwa waziri mkuu wa awamu ya nne na mgombea kipenzi cha watanzania Mh. Edward lowassa ambaye kila shughuli za misiba na shughuli za furaha amekuwa yupo mbele kwa mbele kuhuzunika na wanaohuzunika na kufurahi na wanaofurahi..Nijamwona kabisa kwenye msiba wa Dr.Mengi. Si kawaida yake kabisa...
Mungu amlaze Baba yetu Mzee wetu DR.Mengi ampe pumziko la milele.
Poleni na msiba watanzania wenzangu!!
Baba yetu na aliyekuwa waziri mkuu wa awamu ya nne na mgombea kipenzi cha watanzania Mh. Edward lowassa ambaye kila shughuli za misiba na shughuli za furaha amekuwa yupo mbele kwa mbele kuhuzunika na wanaohuzunika na kufurahi na wanaofurahi..Nijamwona kabisa kwenye msiba wa Dr.Mengi. Si kawaida yake kabisa...
Mungu amlaze Baba yetu Mzee wetu DR.Mengi ampe pumziko la milele.