Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,272
- 2,037
Poleni Watanzania wote kwa MSIBA MZITO wa Rais wa Mioyo ya Watanzania Hayati Edward Lowassa Mungu ampe Pumziko la Milele EDO kwa Maumivu yote aliyopewa na watu wake wa Karibu ktk uhai wake.
Ni Muda sahihi kwa wale wote Waliohusika kwa namna moja KUMUUMIZA mtu huyu kwa ajili ya Maisha na Vyeo vya Kudunia.
Wale waliomtukana Waliomkejeli Waliosababisha kipoteza Uwaziri Mkuu wake,Waliokata Jina Lake kwa Uonevu asigombee Urais Waliomwibia Kura zake za Urais licha ya kushinda ni Wakati Sahihi kwa KUTUBU wakati Wanatoa Salamu zao za Mwisho na Wakati wa Mazishi.
Kibinadamu Hayati Edward Lowassa KAFA kwa Kinyongo cha huo uonevu kwani ulifanywa kwa makusudi na Wahusika.
Binadamu tujifunze hapa Duniani tupo kwa Muda VYEO na MADARAKA tunayoyatafuta kwa kuwaumiza Wengine ni kujitafutia LAANA mbele za MUNGU.
Ni Muda sahihi kwa wale wote Waliohusika kwa namna moja KUMUUMIZA mtu huyu kwa ajili ya Maisha na Vyeo vya Kudunia.
Wale waliomtukana Waliomkejeli Waliosababisha kipoteza Uwaziri Mkuu wake,Waliokata Jina Lake kwa Uonevu asigombee Urais Waliomwibia Kura zake za Urais licha ya kushinda ni Wakati Sahihi kwa KUTUBU wakati Wanatoa Salamu zao za Mwisho na Wakati wa Mazishi.
Kibinadamu Hayati Edward Lowassa KAFA kwa Kinyongo cha huo uonevu kwani ulifanywa kwa makusudi na Wahusika.
Binadamu tujifunze hapa Duniani tupo kwa Muda VYEO na MADARAKA tunayoyatafuta kwa kuwaumiza Wengine ni kujitafutia LAANA mbele za MUNGU.