Yuko wapi huyu jamaa baada ya kushinda kesi yake,au sheria inasemaje si anatakiwa kurudishwa kazini?Huyu jamaa angesaidia saana kufichua madhambi na uozo wa idara mbalimbali za serikali na idara zake.
Real? daaa! jamaa namkubali sana, but TBC cjui vp,taratibu c ziko wazi mtu akiwa na kesi analipwa nusu mshahara hadi hukumu itoke? kama kashinda analipwa malimbikizo ya ile nusu yote kwa miezi yote kisha anaendelea na kazi kama kawa?
Yuko wapi huyu jamaa baada ya kushinda kesi yake,au sheria inasemaje si anatakiwa kurudishwa kazini?Huyu jamaa angesaidia saana kufichua madhambi na uozo wa idara mbalimbali za serikali na idara zake.
Real? daaa! jamaa namkubali sana, but TBC cjui vp,taratibu c ziko wazi mtu akiwa na kesi analipwa nusu mshahara hadi hukumu itoke? kama kashinda analipwa malimbikizo ya ile nusu yote kwa miezi yote kisha anaendelea na kazi kama kawa?
Thanks mkuu,sitamsahau alivoibua uozo wa trafiki polisi chek point Igumbiro pale Iringa,,walikuwa wanatutesa sana madereva wa malaori,full manyanyaso, walitimuliwa kazi jamaa watano hivi,wengine kuhamishwa baada hapo kuna kajidiscipline flani kwenye utendaji wao!