Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,578
- 7,281
Huyu hapaView attachment 816059
Ingawapo uzi unahusu uwepo wa mtu niseme tu huyu NINJA NI HATARI SANA, aanzishe issue halafu awaambie watu waachane nayo. Mtafuteni Dr. Abbas alitolee hili maelezo kwani NINJA haeleweki kabisa ameshindwa kufanya kazi kimya kimya kabisa.