Jones Clean
JF-Expert Member
- Jan 8, 2019
- 393
- 678
Habari wajumbe.
Ni muda Sasa sijamsikia mtangazaji maarufu wa kabumbu wa Azam Media, Baraka Harrison Mpenja a.k.a Sauti ya Radi ambae mechi zote kubwa mara nyingi huwa anakaa nyuma ya kipaza sauti. Ila kwa siku za hivi karibuni gurudumu hili limekuwa likiongozwa na Gharib Mzinga (Kilwa Finest) pamoja na Ayoub Hinjo. Je nini kimempata huyu Sauti ya Radi? Au na yeye ameitwa kamati ya nidhamu kama Cleotas Chota Chama kutoka kule Unyamani?
Merry Christmas kwa wote tunaposubiri kuzaliwa kwa mwokozi wetu.
Ni muda Sasa sijamsikia mtangazaji maarufu wa kabumbu wa Azam Media, Baraka Harrison Mpenja a.k.a Sauti ya Radi ambae mechi zote kubwa mara nyingi huwa anakaa nyuma ya kipaza sauti. Ila kwa siku za hivi karibuni gurudumu hili limekuwa likiongozwa na Gharib Mzinga (Kilwa Finest) pamoja na Ayoub Hinjo. Je nini kimempata huyu Sauti ya Radi? Au na yeye ameitwa kamati ya nidhamu kama Cleotas Chota Chama kutoka kule Unyamani?
Merry Christmas kwa wote tunaposubiri kuzaliwa kwa mwokozi wetu.