Yupo
ngaja kukuche ataingia JF kujibu
Siasa na Malumbano alishaacha,
keshapata trip nyingi tu za nje, mara ya mwisho nilisikia alikuwa Uganda
Sasa hivi yupo kwao DSM anaishi kwa amani
Tanzania bwana Nchi ya amani ukiiulia muulize Zitto kamwachia kimbembe Kafulila