Kuna igizo moja aliigiza ana bifu na crew ya kina Banana Zoro!Mdogo wetu huyu,huku kitaa tunamwita Mr.Sahani.
Nambie.....Kuna ngoma inaitwa kitu gani yuko na Q jay iko vyema sana.
Uhaaa nasonga kwa stimu na ndoto kedee ,waambie D.Huyu jamaa ni kipindi saa yuko kimya, nilikuwa naelewa sana ngoma zake kama elimu mtaani dot com, na nishike mkono.
Jamaa alikuwa mgumu sana katika kila kitu mpaka lifestyle lake, ila ni ipindi sasa sijamsikia. Anayejua kama bado yu hai tafadhali.
yuko sawa,D knob ni nickname jina lake kamili ni Innocent Sahani.Kwanini mkuu, yuko sawa?
Ngoma yake hiyo ilikuwa na Verse moja.Uhaaa nasonga kwa stimu na ndoto kedee ,waambie D.