Yuko wapi Cyprian Majura Musiba?

Yuko pembeni mwa kaburi la mwendazake

Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
 
Je alikwishamlipa Mhe. Membe fidia yake kwa ajili ya kumchafua?.
Unajua ilikuwa bei gani? Aliambiwa na Mahakama amlipe Membe 7B Tshs. Sijui kama anazo na jana Membe karudi CCM kwa kishindo kwa kupewa kadi mpya ya CCM na kwa hali hiyo Musiba itabidi ahamie Kenya tu!
 
Mwanaharakati huru anapobakia kama pilitoni dadadeq...

 
Lakini mlimuunga mkono. Sema sasahivi ndio mnapata akili. Wakati ule mlikuwa hamuambiwi kitu.

Rais Samia yeye kajifunza, kaona pesa na mali ni vitu vya kupita, ajira ametoa, mishara kapandisha na Malupu lupu juu.

Tunasubiri Katiba Mpya tu baasi.
Haya matozo huyaoni? Jinga weee.
 
Nguvu ya mamba iko kumayi
 
Tatizo la Musiba hata CCM alikuwa hakubaliki na ndio maana alijaribu kugombea ubunge akashindwa huko mwibara. Kwa Sasa anajuta tu kwa ujinga wake.

Uongozi wa Magufuli uliexpose wajinga wengi akiwemo huyo Musiba. Nakumbuka siku Lissu amerudi nchini, Musiba alimshambulia Sana utadhani nchi ya babaake, sasahivi kajificha hawezi kuonekana. Musiba, Makonda na Sabaya wawe someone kwa vijana Viongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…