Yu wapi Tido Mhando?

Tido went back to the UK but he was expecting to have some rest and thereafter decide what to do. he wasn't expect to be formally employed but he didn't rule out. anything is possible. he has laid the foundation and done a very good structural work within the public tanzania media hous. he has formed the corporation and made TBC1 and TBC the same thing which is likable again within and outside tanzania. he stands to the agreements and that what has made his contract not to be extended for another six months while he was trying to finish the foundation work he has started. all parties agreed to the live debate with wananchi during elections but when ccm was outperformed at Vunjo and Ubungo, ccm stopped its candidates from participating. they requested Tido to stop the debate but he refused on a basis that they had earlier with all parties including ccm and pull out by ccm should not deny other people opportunitie! this formed gradges with the ruling party and it is associated with non-extension of his contract which earlier gently agreed.


Amani na upendo Brother!
 
Huyu kweli alikuwa mzalendo, Mola ampe utulivu na mustakbali mwema.
 
:wink2:Tatzo serikali imejaa wa2 wasio na upeo kimawazo wamekaa kiwizi wizi!!! Mnakumbuka uchaguz wa UWT sofia simba na Jannet Kahama walivyorushiana mangumi kisa madaraka sasa hawa hwa watampenda Tido kwell ambae aliendesha mdahalo kila kona ya nchi na kusababisha wagombea wa ccm waliozea kuandikiwa maswali na majibu kushinda kujib hoja mbele ya wananchi??? the only solution is to copy and paste that of TUNISIA!!! TANZANIA NZURI ILA IMEJAA VIONGOZI MBUMBUMBU:decision:
 
Tangu asitaafishwe aliyekuwa mkurugenzi wa TBC sijui alipo na nafasi yake amewekwa nani?kama kuna mwenye taarifa animwagie hapa jamvini.
 
Tangu alipoondoka TBC hata mambo yao hayapo mkao................
 
Wadau naomba mnijuze mwenye kufahamu yuko wapi Ndg Tiddo Mhando mzalendo aliyeipa hadhi ya juu na kuifanya TBC kupendwa na walipa kodi zao kabla ya kuvuliwa gamba?

Amerudi zake ulaya alipokuwa kabla ya kuombwa arejee kutumikia taifa?yuko kijijini kama mtanzania mwingine analima?au yupo town anasikilizia hatima yake ni ipi?
 
last week nilifanikiwa kumuona mitaa ta tcc changombe akiendesha kikao flan cha harusi
 
Wadau naomba mnijuze mwenye kufahamu yuko wapi Ndg Tiddo Mhando mzalendo aliyeipa hadhi ya juu na kuifanya TBC kupendwa na walipa kodi zao kabla ya kuvuliwa gamba?

Amerudi zake ulaya alipokuwa kabla ya kuombwa arejee kutumikia taifa?yuko kijijini kama mtanzania mwingine analima?au yupo town anasikilizia hatima yake ni ipi?

Muda si mrefu atarejeshwa kwenye ulaji wake.
Waliojivua gamba wataweka mambo sawa. Maana mafisadi wameambiwa wajitoe wenyewe!. Kama litawezekana!.
 
Baada ya kuondolewa vibaya pale TBC sijui nguli huyu wa fani ya utangazaji kaenda wapi? Maana hatumsikii kabisa na mjini haonekani. Au neye kisha hamia Radio Abood?
 
Baada ya kuondolewa vibaya pale TBC sijui nguli huyu wa fani ya utangazaji kaenda wapi? Maana hatumsikii kabisa na mjini haonekani. Au neye kisha hamia Radio Abood?

Mjini wapi haonekani?
 
Ni mtu safi ana makeke .Yeye siyo bidhaa kujitangaza au kujionyesha kutafuta umaarufu wa kijinga .Hivi kabla ajaja hapo TVT alikuwa wapi na hapo alipotoka kabla ajakuwepo alikuwa wapi ! .Kwahiyo yupo anapositahili
 
Baada ya kuondolewa vibaya pale TBC sijui nguli huyu wa fani ya utangazaji kaenda wapi? Maana hatumsikii kabisa na
mjini haonekani. Au neye kisha hamia Radio Abood?

chimbu chimbu nyingine bana!!
 
Hujamtafuta tuu mtaan kwake anapoishi au hujui mitaa anayopendelea kuwepo. Yupo sana hata juzi nimekutana nae kwenye pilika pilika zangu
 
Baada ya kuondolewa vibaya pale TBC sijui nguli huyu wa fani ya utangazaji kaenda wapi? Maana hatumsikii kabisa na mjini haonekani. Au neye kisha hamia Radio Abood?

Upo mji gani haonekani? Mbona tunapiga nae vitu sana tu pale Tip top.!

Yeye ni mtendaji sio muuza sura.
 
baada ya kuondolewa vibaya pale tbc sijui nguli huyu wa fani ya utangazaji kaenda wapi? Maana hatumsikii kabisa na mjini haonekani. Au neye kisha hamia radio abood?

nazjaz una kitu zaid unachokitafuta zaidi ya hili swali,
lakin naamini kwa kuwa hapa ni jf basi utakipa tu,
ila usije tu ukakwazika moyoni mwako.....
 
Back
Top Bottom