Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,802
- 1,606
- Thread starter
- #21
Akiona hiyo picha tu utaingia kwenye jukwaa
Hahha ni kweli naona kaingia :A S 465::A S 465:
Akiona hiyo picha tu utaingia kwenye jukwaa
MR ukimpata nistue anakesi ya kujibu!
MR, rudisha hii photo kule ulikoitoa, hapa si mahala pake.
Mkuu Maria Roza kulikoni?
Mimi mbona niko Mkuu? tuliensesha shindano hapa baada ya Uchaguzi Mkuu la kumtafuta JF Man and Woman of the Year ambavyo walishinda Nyani Ngabu; Acid na Regia.
Kwa sasa niko kajificheni natafakari maisha na Kujivua Gamba.
Respect.
Mhh bas nilipitwa na hilo shindano...
Kajificheni unafanya nini naruhusiwa kuja nami nijifiche :behindsofa:
MR niaje Mkuu? Mbona unataka kunitafutia kesi?
Mie najivua gamba, ukija kujificha utafanya nini sasa?