Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,595
- 225,187
Inaitwaje?😍wow
pia ,malebo aliokoka na mchungaji Munishi aliimba nyimbo ya kuleta mrejesho bahati mbaya nimeisahau jina
kwa mrefu hahaaaahaaaaaKwenye kundi lao alikuwa Munishi, Malebo na Mrefu. Huyo Mrefu ndio alikuwa balaa mpaka mtaa anapoishi ukapewa jina lake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaitwaje?
Ilisemekana huyu Pastor Faustine Munishi alikuwa na bifu na Rais Mkapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaishi Nairobi KenyaAlimuimbia Tena wimbo mwingine maana Malebo alikubali kuokoka.
Atakuwa anamtumikia Mungu mahala.
Hivi huyu mch Munishi Yuko wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
tunashukuru kwa picha mkuu, nimefurahi sana kuiona hii picha,mtu mwingine anaweza kuiona ni ya kawaida tu,kilichonifurahisha ni kwamba Malebo ana Rafiki wa kweli bwana Munishi kwa miaka mingi,huu ndio urafiki ninaoupenda kuwa nao
Wote walikuwa majambazi na wezi wa kutupwa,munishi,mrefu na maleboKwenye kundi lao alikuwa Munishi, Malebo na Mrefu. Huyo Mrefu ndio alikuwa balaa mpaka mtaa anapoishi ukapewa jina lake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wote walikuwa majambazi na wezi wa kutupwa,munishi,mrefu na malebo
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa alikuwa anajua mpaka kero. Nadhani sasahv atakuwa ameanza kuchoka maana ni kitambo sana.Yah ! Ulikuwa unaitwa " Mageuzi " ni noma
Miaka 2004/2006 alikuwa misheni town mitaa ya Livingstone na Lumumba!Tumkumbushe alipe kile alichowaibia wale ndugu zako "Wazaire",Maana waliahidi wakimuona macho/meno yake watayatoa.
Watoto wa sasa watauliza WAZAIRE ni watu gani kutokea wapi.Jina hili nililipenda kwa sababu kuna kijiji nilikuwa naonyeshwa udogoni kipo karibu na Mirereni,basi mi nikawa najua ndo zaire kwenyewe kwa mzee mobutu.
Aliya teka kwa nani mzee baba?Habar wanandugu, Malebo alisha okoka havuti sigara wala hanywi pombe tena. Yupo huku pande za NYARUGUSU anamiliki maduara ya kuchimba dhahabu Kama sikosei ni ma4 , jamaa yupo vzur kimaisha😎😎
Ahsante sana mkuuMalebo yupo na hivi sasa ameshaokoka. Anaishi Kijiji cha Kindi Muyuni, Moshi Vijijini. Mwezi Januari, 2020 Askofu Gwajima alikuwa na Mkutano pale Uwanja wa Memorial Moshi. Malebo pia alikuwepo. Pichani Kulia ni Mch. Faustine Munishi na Kushoto ni Malebo. Picha Imepigwa January, 2020. View attachment 1457463
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu tayari ameiweka kwenye hii thread fualitia comments utaionaInaitwaje?