lukesam JF-Expert Member Feb 23, 2015 12,429 25,667 May 16, 2018 #21 Anajisuka na kujipanga kupokea mikoba ya 'jiwe' 2020!
sheiza JF-Expert Member Sep 29, 2010 7,566 11,481 May 16, 2018 #22 Aligombea ubunge akitegemea nafasi ya uwaziri..Ikawa tofauti akabaki na ubunge tu..Kibaya zaidi ubunge wa sasa ni usumbufu
Aligombea ubunge akitegemea nafasi ya uwaziri..Ikawa tofauti akabaki na ubunge tu..Kibaya zaidi ubunge wa sasa ni usumbufu
C Carpensis JF-Expert Member Dec 20, 2016 563 340 May 16, 2018 #23 Amejaa tele anakula bata kwa kwenda mbele,ni CEO kwenye Makampuni yake
kijanamdogo JF-Expert Member Feb 25, 2018 231 176 May 16, 2018 #24 Mbona hujasema waliko Katambi , Kafulila, na Msando?