Kamanda ALFRED TIBAIGANA....[Mtahalamu wa sheria} Alikuwa na roho nzuri sana ,siku moja kwao mapolisi waliingia kijijini kwake kukamata watengeneza/wauzaji wa pombe za kienjeji [a.k.a NKONYAGI) kwa nguvu ,pia kuwanyang'anya pesa...,siku hiyo alikuwa likizo alikamata mapolisi wate waliokuwa kwenye diffender, kunyanganya bunduki na koffia,,,akiwashutum kwanini wanakamata raia masikini na kuwaacha wezi kibao waliokijijini kwao....tangu siku hiyo pombe za kienyeji akawa halali.2008 nilikwenda ofisin kwake nikawa sinapesa boom lilikuwa limekwisha...akanipa laki moja na kunikatia tiketi ya ndege kwenda kwetu....hata nilisikia mapolisi wengi wakimsifia kwa kusikiliza matatizo yao nje ya kazi.