Youtubers tukutane hapa

Youtubers tukutane hapa

Je ni app gani ambayo ulisha wahi kutumia au unaotumia kufanya editing za video kwa kuweka vitu vingi kama maandishi na vitu vingine.
Tujuzane ili na wengine tuijaribu
Mimi natumia InShot Pro KineMaster ilinishinda kitu kimoja, Inapokua ina Export project inatakiwa iwe mbele ya screen, Ukiweka background inacancel kingine iko slow japokua ina ma features kibao sana..

InShot naweza tengeneza project angu then kwenye ku Export na minimize naendelea na mambo mengine mpaka imalize sijui wenzangu wana maoni gani..
 
Mimi natumia InShot Pro KineMaster ilinishinda kitu kimoja, Inapokua ina Export project inatakiwa iwe mbele ya screen, Ukiweka background inacancel kingine iko slow japokua ina ma features kibao sana..

InShot naweza tengeneza project angu then kwenye ku Export na minimize naendelea na mambo mengine mpaka imalize sijui wenzangu wana maoni gani..

KineMaster best sana japo ina water mark ila ukidownload nje ya play store haina
 
Hii ilinikuta pia mkuu, Sio poa nli upload Acapella ya Zuchu - Sukari ikatolewa, Sasa hapa nina MixTapes zangu 2 za Old Bongo Fleva nawaza namna ya kuziupload wasiziondoe..

Ila kwa sisi DJs naskia unaweza cheza na Tempo, Key ya nyimbo na korokoro nyingine lakini nilijaribu hiyo mbinu nikaishia kufutiwa mixes zangu.., Njia nyingine kutumia remix tracks em fikira Mix ina playlist ya nyimbo 100 utazi Remix zote uzimalize ndo uzipige kwenye mix? Si usumbufu huu...
Ni shiida sana..saiv nimehamia vimeo
 
Mimi natumia InShot Pro KineMaster ilinishinda kitu kimoja, Inapokua ina Export project inatakiwa iwe mbele ya screen, Ukiweka background inacancel kingine iko slow japokua ina ma features kibao sana..

InShot naweza tengeneza project angu then kwenye ku Export na minimize naendelea na mambo mengine mpaka imalize sijui wenzangu wana maoni gani..
Shukurani mkuu lakini hiyo si ina watermark
 
Mimi nina ka channel kangu kapya, Kanajihusisha na maswala ya Muziki! Yaani nina upload Beats & Acapella za miziki ya kibongo, Nisaidieni kukasupport

Tatizo linalonipa challenge ni copyright issues! Beats & Acapella nazoproduce mie niki upload mara zote nakutana na kipengere hiki sijajua namna ya ku bypass bot la YouTube lisizidi kunifanyia matusi hatimaye nifutiwe ka channel kangu bado kapya hakana hata maajabu sana...
Kweli hapo ni changamoto lakini jitahidi kufanya editing hata kwenye sauti ongeza vitu
 
Back
Top Bottom