iNine9
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 5,008
- 9,408
Mimi natumia InShot Pro KineMaster ilinishinda kitu kimoja, Inapokua ina Export project inatakiwa iwe mbele ya screen, Ukiweka background inacancel kingine iko slow japokua ina ma features kibao sana..Je ni app gani ambayo ulisha wahi kutumia au unaotumia kufanya editing za video kwa kuweka vitu vingi kama maandishi na vitu vingine.
Tujuzane ili na wengine tuijaribu
Mimi natumia InShot Pro KineMaster ilinishinda kitu kimoja, Inapokua ina Export project inatakiwa iwe mbele ya screen, Ukiweka background inacancel kingine iko slow japokua ina ma features kibao sana..
InShot naweza tengeneza project angu then kwenye ku Export na minimize naendelea na mambo mengine mpaka imalize sijui wenzangu wana maoni gani..
Cracked ninayo ya bila Watermark ila sipendelei kuitumia..KineMaster best sana japo ina water mark ila ukidownload nje ya play store haina
Ni shiida sana..saiv nimehamia vimeoHii ilinikuta pia mkuu, Sio poa nli upload Acapella ya Zuchu - Sukari ikatolewa, Sasa hapa nina MixTapes zangu 2 za Old Bongo Fleva nawaza namna ya kuziupload wasiziondoe..
Ila kwa sisi DJs naskia unaweza cheza na Tempo, Key ya nyimbo na korokoro nyingine lakini nilijaribu hiyo mbinu nikaishia kufutiwa mixes zangu.., Njia nyingine kutumia remix tracks em fikira Mix ina playlist ya nyimbo 100 utazi Remix zote uzimalize ndo uzipige kwenye mix? Si usumbufu huu...
Sasa vimeo hakuna monetizationNi shiida sana..saiv nimehamia vimeo

Shukurani mkuu lakini hiyo si ina watermarkMimi natumia InShot Pro KineMaster ilinishinda kitu kimoja, Inapokua ina Export project inatakiwa iwe mbele ya screen, Ukiweka background inacancel kingine iko slow japokua ina ma features kibao sana..
InShot naweza tengeneza project angu then kwenye ku Export na minimize naendelea na mambo mengine mpaka imalize sijui wenzangu wana maoni gani..
Kweli hapo ni changamoto lakini jitahidi kufanya editing hata kwenye sauti ongeza vituMimi nina ka channel kangu kapya, Kanajihusisha na maswala ya Muziki! Yaani nina upload Beats & Acapella za miziki ya kibongo, Nisaidieni kukasupport
Tatizo linalonipa challenge ni copyright issues! Beats & Acapella nazoproduce mie niki upload mara zote nakutana na kipengere hiki sijajua namna ya ku bypass bot la YouTube lisizidi kunifanyia matusi hatimaye nifutiwe ka channel kangu bado kapya hakana hata maajabu sana...
.sio upend inakushinda embu kaza na kinemaster mzee ni hatari na nusuCracked ninayo ya bila Watermark ila sipendelei kuitumia..
.sio upend inakushinda embu kaza na kinemaster mzee ni hatari na nusu
hahahah kinemaster imejitosheleza sana kakaHajui tu
Umeshaipata?...... Kama bado nicheck tufanye harakati.Mkuu natafuta channel ya kununua yenye Subscribers wengi
NimeshakuchekiUmeshaipata?...... Kama bado nicheck tufanye harakati.
yeah;Do you have youtube channel?
NB: YouTube Hawa upload anything otherwise watakufungia channel yako.