Youtubers tukutane hapa

Youtubers tukutane hapa

Nimeshindwa kuweka link hapa labda tutumie mbinu mbadala niisend yenyewe kama yenyewe
 
Mm nimekuza channel yangu kwa mbwinu Moja rahisi sana..

* Kupiga kazi bila kuacha au kukaa muda murefu bila kuzalisha content

Kawaida ya algorithm huwa ina recommends channel ambayo muda mwingi inazalisha content back to back bila kuchoka.

Kwa hiyo nikujitahidi kutengeneza contents za kutosha na kuaploads video mara kwa mara.
Mm binafsi kwa sasa kila siku lazima niapload video 2 mpk 3 kwa siku

Siku nikiwa na muda wa kutosha huwa na tengeneza hadi video kumi
Ili hata siku nikishindwa kuzalisha content basi siwezi shindwa cha kupost.

Nakuhakikishia ukianza kufanya hayo niliyokuambia hakika utayaona mabadiliko makubwa ukilinganisha na awali.

Mungu hakutuumba wavivu sema tunaupandikiza tu.
Mkuu natafuta channel ya kununua yenye Subscribers wengi
 
Wadau kama wewe ni mmiliki au mtengenezaji wa channel YouTube.

Au ni mdau wa YouTube, tukutane hapa ili kujadili maswala yanayo husiana na YouTube channel kama vile kutengeneza, kumonitor, kupata mbinu mbalimbali za kupata subscribers, viewers, comment na shares.

Pia uwanja huu utahusisha Sub for sub(Sub4sub).
Mimi nina ka channel kangu kapya, Kanajihusisha na maswala ya Muziki! Yaani nina upload Beats & Acapella za miziki ya kibongo, Nisaidieni kukasupport

Tatizo linalonipa challenge ni copyright issues! Beats & Acapella nazoproduce mie niki upload mara zote nakutana na kipengere hiki sijajua namna ya ku bypass bot la YouTube lisizidi kunifanyia matusi hatimaye nifutiwe ka channel kangu bado kapya hakana hata maajabu sana...
 
Mimi leo nimeupload nonstop yangu ya bongoflava okdakool youtube..ambayo nimeimix mwenyewe lakini wameitoa nakusema kuwa kuna content za ngomma vas..sijaelewa kabisa
Hii ilinikuta pia mkuu, Sio poa nli upload Acapella ya Zuchu - Sukari ikatolewa, Sasa hapa nina MixTapes zangu 2 za Old Bongo Fleva nawaza namna ya kuziupload wasiziondoe..

Ila kwa sisi DJs naskia unaweza cheza na Tempo, Key ya nyimbo na korokoro nyingine lakini nilijaribu hiyo mbinu nikaishia kufutiwa mixes zangu.., Njia nyingine kutumia remix tracks em fikira Mix ina playlist ya nyimbo 100 utazi Remix zote uzimalize ndo uzipige kwenye mix? Si usumbufu huu...
 
Back
Top Bottom