Youtubers tukutane hapa

Youtubers tukutane hapa

Okay hivi ikizidi mwaka Kama hujafika vigezo ukija fikisha vigezo wanaweza ku monetize au..?
Ikija kufikisha vigezo hata kama ina miaka 3 ukiomba na ukawa na sifa wanaruhusu kumonetize hakuna Tatizo.
 
Mm nimekuza channel yangu kwa mbwinu Moja rahisi sana..

* Kupiga kazi bila kuacha au kukaa muda murefu bila kuzalisha content

Kawaida ya algorithm huwa ina recommends channel ambayo muda mwingi inazalisha content back to back bila kuchoka.

Kwa hiyo nikujitahidi kutengeneza contents za kutosha na kuaploads video mara kwa mara.
Mm binafsi kwa sasa kila siku lazima niapload video 2 mpk 3 kwa siku

Siku nikiwa na muda wa kutosha huwa na tengeneza hadi video kumi
Ili hata siku nikishindwa kuzalisha content basi siwezi shindwa cha kupost.

Nakuhakikishia ukianza kufanya hayo niliyokuambia hakika utayaona mabadiliko makubwa ukilinganisha na awali.

Mungu hakutuumba wavivu sema tunaupandikiza tu.
Mkuu chaneli yako imekidhi vigezo vya monetize..?
 
Nimeicheki nimeona ipo vizuri lakini hujakutana na issue ya copyright kwa wingi maana naona nyimbo tofauti za wasanii
Ilipata moja tu tena ilikuwa ni nyimbo ya ngwear alichukua beat ya wamarekani huko wakaiona wakaripoti! Kwa hawa wa ndani sijapata hata moja wengine naona ndo wanasapoti!
 
Ilipata moja tu tena ilikuwa ni nyimbo ya ngwear alichukua beat ya wamarekani huko wakaiona wakaripoti! Kwa hawa wa ndani sijapata hata moja wengine naona ndo wanasapoti!
Ipo vizuri nimeona subscribers wapo 3K ushajiunga na Google AdSense
 
Mkuu mpe moyo
Hapana mkuu siwezi kumpa moyo coz nitakuwa namdanganya

Hizo nyimbo anazo tumia ni za watu na tayari kuna baadhi zipo YouTube

Kimbuka kila video iliyo_uploadiwa YouTube Ina ID yake kwa hivyo bot za YouTube zinajua kabisa hizo video zilishawekwa mtandaoni.

Anachotakiwa Kufanya kitu chake mwenyewe ili asije kujisumbia baadae Unapokuwa kakidhi vigezo alafu mwisho anaambiwa hizo contents zilishatumika.

Akashindwa ku-monetize channel yake.
 
Back
Top Bottom