PC ikisha anza hilo tatizo hapo kuna mawili hapo yafatilie kwa ukaribu..
1. Jaribu kuirepair windows either kwa kutumia backups au tengeneza bootable pendive kabisa then ufanye kuirepair, ikifeli hii solution the last one fanya kushusha windows na weka mpya achana na pirated download official ISO file kabisa ndiyo uweke..
2. Ki hardware RAM zimeanza ku misbehave jaribu kuzikagua kama bado nzima, sambamba na hilo check HDD (Hapa tatizo linaweza kua zaidi ya 70% nme experience sana hilo tatizo hapa) na kama ukiiwasha inakua nzito kuwaka na kutumia muda mrefu basi badili tu HDD itapona.