Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,784
- 5,284
huyu sio billionea wa arusha bali ni mdogo wake Haidali kavila
poleni wafiwa, ila kwa nyie mabilionea wa arusha hasa madini , kama hizo mali mlizipata kwa kudhulumu mtakwisha kiajabu ajabu hivihivi, nlishapata stori moja sasa nimeanza kuamini mlinyang'anya sana mali za watu , na mkamtumia advocate bilionea mawalla na mkashinda sasa mrudieni Mungu , kwa mtazamo tu anzia kifo cha Mawalla , utaona mfululizo wa vifo vya ajabu kwa hawa mabilionea .