kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 17,646
- 14,792
Yanga wakifungwa lazima wapigane.Kibendera katimiza aliyotumwa kwa ufasaha
Yanga wakifungwa lazima wapigane.Kibendera katimiza aliyotumwa kwa ufasaha
Duuuh....maajabuSijawahi kuona waamuzi wapumbavu kama wa Tanzania.how is that an offside?
Haina haja maana kila mtu anaona, yaani kibendera ananguvu kuliko refa wa kati? Hii ipo tz tuYanga wakifungwa lazima wapigane.
Ilishatokea tena kule Gwambina Misungwi, Goli la simba lilikataliwa na mshika kibenderaHaina haja maana kila mtu anaona, yaani kibendera ananguvu kuliko refa wa kati? Hii ipo tz tu
Ni vyema wasiwe wanafanya maamuzi haraka.Mpira wa Tanzania umejaa upumbavu mwingi, unawezaje kumpanga refa na linesman ambao hawajuhi sheria ya offside? Huu upumbavu unaanzia TFF down mpaka chini, wote mavi tu vichwani. Ukifuatilia mipira ya hawa wapumbavu unaweza jikuta umekuwa equally jinga kama wao
Ni vyema wasiwe wanafanya maamuzi haraka.
Kama leo refa wa kati ndio alikuwa karibu zaidi na mpira na akapuliza kipenga kuwa mpira uende kati.
Baadae anaambiwa sio goli means hata yeye mwenyewe hajui anachoamua ni nini yani!!