Hahaaaa. Sawa.Hahahaha sawa Mama Yanga, ila uhakikishe pia unatumia hivo vipengele vya katiba kuwabana kina Mzee Akilimali na wenzie watapoanza kuwawashia moto viongozi wapya pale mtakapokua mnapokea kichapo kutoka Msimbazi
Mambo gani hayoMAMBO NDIO YAMEANZA KWENYE TIMU YA WANANCHI.
"Daima mbele nyuma mwiko"
Mtani post no #3,562 kuna habari ya uteuzi wa Wajumbe wa Kamati ya Utendaji kwenye timu ya wananchi hivyo nikasema mkae chonjo kwani mambo mazuri yanakuja Mtani.Mambo gani hayo
Mwezi mtukufu huu tushirikiane kama kuna michango tutoe
Hahaaa. Ntakuletea bandiko la Mchango Mtani kama ni hivyo.Mambo gani hayo
Mwezi mtukufu huu tushirikiane kama kuna michango tutoe
Hahaaa. Ntakuletea bandiko la Mchango Mtani kama ni hivyo.
Na itabidi mwezi uende pole pole ili tuzidi kuona wema wenu watani. 😀😀😀😀
Hahaaaa. Kamwene Mtani.Kamwene Mtani, hivi Sevilla wakija mtawashangilia kama wale wengine?
Hahaaaa. Kamwene Mtani.
Yah! Naachaje kuishangilia sasa Mtani.
Makambo kasepa?? Maana napata nyepesi nyepesi tu!
Mtapata tabu sana YangaJamani wana Yanga wenzangu hebu sogeeni tujadili hawa wanaosajiliwa na Papa Zahera.
Watatusaidia kweli au ndio Papa yuko mbio tu?
Hebu tuwache bwana Ses.Mtapata tabu sana Yanga
Dirisha kubwa la usajili limefunguliwa Shadeeya natamani hata kwa mashabiki ingekua hivyo kwamba ungehamiaga tu Msimbazi ili ujiepushe na pressure na kuhuzunika kila mara kunakoletwa na hayo mapenzi yako kwa timu isiyokua na matumaini ya kushinda kombe loloteHebu tuwache bwana Ses.
Jamani wana Yanga wenzangu hebu sogeeni tujadili hawa wanaosajiliwa na Papa Zahera.
Watatusaidia kweli au ndio Papa yuko mbio tu?
Itakuwa vyema zaidi Mkuu kwani misimu miwili iliyopita tulikuwa dhohofu lihali na kama msimu huu wachezaji tu na hamasa ya kocha ndio iliyotufanya tusimame na kuwapeleka puta mikia.Tutakuwa vizuri sana