Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,223
- 115,063
Hahaaaa. Sawa.Hahahaha sawa Mama Yanga, ila uhakikishe pia unatumia hivo vipengele vya katiba kuwabana kina Mzee Akilimali na wenzie watapoanza kuwawashia moto viongozi wapya pale mtakapokua mnapokea kichapo kutoka Msimbazi