Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,323
- 115,323
Pole sana. Najua mzuka utaupata Algeria na kwa Wacongo. 😜😜
Pole sana. Najua mzuka utaupata Algeria na kwa Wacongo. 😜😜
Nyie pambaneni kwny kombe la FANilijua tu na hauko peke yako ni wengi hawajapata mzuka akiwemo King Ngwaba .
Hahahaaa. Na huku pia tunapambana nako mpaka tone la mwisho.
Izo mechi ndo zinanipa presha sana tangia nikue sijawah kuona Simba akitinga robo fainalPole sana. Najua mzuka utaupata Algeria na kwa Wacongo.
Pole sana. Huenda mkafanya Maajabu ili uje kuhadithia na wajukuu kwamba iliwahi kutokea.Izo mechi ndo zinanipa presha sana tangia nikue sijawah kuona Simba akitinga robo fainal
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka mpate uongoz mpya ndo mtakuwa mnaeleweka sa iv hajulikan mwenye timuHahahaaa. Na huku pia tunapambana nako mpaka tone la mwisho.
Nitafurah sanaPole sana. Huenda mkafanya Maajabu ili uje kuhadithia na wajukuu kwamba iliwahi kutokea.
Pole sana. Najua mzuka utaupata Algeria na kwa Wacongo. 😜😜
Daima mbele nyuma mwikoKILA LA KHERI TIMU YA WANANCHI DHIDI YA MBAO HAPO MAJIRA YA 16:00HRS
"DAIMA MBELE NYUMA MWIKO"
Mtani natk kujua jezi ya ugenini huwa mnavaa rangi gan?KILA LA KHERI TIMU YA WANANCHI DHIDI YA MBAO HAPO MAJIRA YA 16:00HRS
"DAIMA MBELE NYUMA MWIKO"
Hahahaaa. Za nini Sasa Mtani au unataka kununua jezi na wewe? 😜
Sema hujui acha kuzugaHahahaaa. Za nini Sasa Mtani au unataka kununua jezi na wewe?
Yanga oyeeeeee, jamani tuwe tunatoa na michango yetu kwa timu yetu ya wananchi.