Ipopolo ipi iyo kwa mwagongo au panya roadTayari! Uncle Mrisho Ngassa. A ball in the space.
Kakolanya Hakuwpo wakati wa maandalizi ya mechi, alikuja kikosini siku moja kabla, kwa hiyo alishindwa kumpanga kikosini, haya ni maelezo ya KOCHA.Kati ya vitu vya kijinga vinavyofanyika kwenye klabu zetu ni kuamini mtoka nje ni bora kuliko mzawa.
Naona Yanga wamemrudisha Rostand mwingine kwa jina tofauti.
Hivi pale Yanga kuna mtu anajituma kama Ben Kakolanya?
Yale magoli ya kijinga namna ile Ben asingeruhusu.
Kakolanya Hakuwpo wakati wa maandalizi ya mechi, alikuja kikosini siku moja kabla, kwa hiyo alishindwa kumpanga kikosini, haya ni maelezo ya KOCHA.
Mmeshinda ngapi leo?Msimu huu vichomi wajipange ama sivyo inakula kwao, Kuala lumpar imerudi mjini
Wamekuwa bubuNdala wameshinda ngapi ?
Hawajashinda maana muda mrefu game imechezwa au bado hawajapata matokeo ?Wamekuwa bubu
Kakolanya Hakuwpo wakati wa maandalizi ya mechi, alikuja kikosini siku moja kabla, kwa hiyo alishindwa kumpanga kikosini, haya ni maelezo ya KOCHA.