Ogopa matapeliHaya ndio mambo gan tena yaan Azizi key na Diarra mpka Leo hawaripoti kambini?
Hii haikubaliki
Ndio maana ikawa 0 kwa 0Mi ni yanga ila lile siyo goli.
Hapa Lunyamila alikuwa form 2 Buhangija sekondari na Nteze John alikuwa Buluba Sec.Unakikumbuka kikosi hichi?
1. Khamis Kinye
2. Yussuf Ismail Bana
3. Ahmed Amasha
4. Fred FedEx Minziro
5. Charles Bonfas Mkwasa
6 Juma Mkambi
7.
8 Sakilojo Chambua
9 Abeid Mziba
10. Makumbi Juma
11. Mohd Hussen Daima.
Wakati Lunyamila yupo biashara ya Shinyanga
Constantine kimamda yupo kwao Rwanda
Na kweli.Hapa Lunyamila alikuwa form 2 Buhangija sekondari na Nteze John alikuwa Buluba Sec.
Kwani Mkuu ndo wewe umevaa koti jipya?𝐄𝐢𝐝 𝐌𝐮𝐛𝐚𝐫𝐚𝐤 Wananchi wote dunia nzima🔰🕌🌙
View attachment 2959414
Ndio dada yanguKwani Mkuu ndo wewe umevaa koti jipya?
Ooh! 🤝Ndio dada yangu
Mbona Imeisha Msimu Huu Makombe Yote Yaliyobaki Ni YetuKwenye hili kombe tushundwe wenyewe tu.
View attachment 2967893
Hatuachi kitu.Mbona Imeisha Msimu Huu Makombe Yote Yaliyobaki Ni Yetu