Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

HABARI WANA YANGA!?

Leo tumeshuhudia wote makundi yalivyopangwa..Tumeona Yanga vs Mamelodi. ...pasipo kuogopa uwekezaji wao kama club !! lakin hata sisi Yanga tuna uwezo mkubwa ...uwezo wetu unaanzia kwenye mfumo wa uendeshaji wa Club yetu..Yanga sc...Tumepata viongoz wachapa kazi na wabunifu sna tunajivunia hilo ..lakin pia tuna matawi ambayo yamebeba watu mbali mbali ambao ni wanahama wafia timu

........Angalizo...

..Hii mechi tukisimama wote kwa umoja na ushirikino wetu kama wana Yanga// Tunaweza kumpiga mamelodi na kutinga nusu final Caf...yes inawezekana kabisa tumewahi kufanya hivyo

......Wito......

1... kwanza kabisa tuwaunge mkono Viongoz wetu wa club !!! pia wachezaji na benchi la ufundi...

2.Sisi wana Yanga woote popote ulipo!! hamasa iwepo kubwa sna kuelekea mchezo huo , hasa pale kama tu watasema tutaanzia nyumbani...

3 ..Tusimame sasa kuhakikisha mechi hizi mbili away & home tunapata ushindi..kama ilivyo kuwa kwa mazembe na Malumo

4/.viongoz wa matawi yoote ya Yanga sc //!! sasa ni mda wa kuitisha vikao vya zile kamati zetu za Siri

5.!/ Viongoz mbali mbali wa dini zote ..sasa ni mda wa kuomba Dua na sala..


.NB...
Kila mwenye imani yale aanze kuandaa lolote la kuifanya Yanga ikavuka hiki kiguzi cha kutinga nusu final ...hapa tukumbuke kauli ya afisa wetu wa habar alisema mwenye chochote atakachoona kitasaidia tim kushinda siku hyo aje nacho..ile.kauli bado inaish na iendelee kufanya kazi vilivyo..tusiwe wamaneno mengi sasa tuwe na mda wa kutafakari na kuhakikisha vitendo zaid kuliko maneno..tufanye kazi zetu kimya kimya kwa kumshirikisha Mungu hakika tutaweza kufika oale tunapopataka...ni vita ya wote na inatakiwa wote tuingie vitan !! kwa kila mmoja na style yake...Humu ndani zamani tulikuwa na ule utaratibu wa mikeka...sasa tuliusitisha kwa sababu maalumu.. naomba ule utaratibu wa kuchanga pesa basi hamishia kwako mwenyewe na tawi lako au watu wako wawili au watatu ...wapo watu ni wazur sna na wanajua hesabu za hiz mechi vzr mno !!!/na wengine wanajua kuomba Sala+ na kusoma Dua !!!//hivyo kwa kila mmoja na iman yake ,,apambane vilivyo kuhakikisha Yanga tunatoboa..Ni mda sasa wa kuacha kujadiri mambo mengne hebu tujikite na tuanze kuwaza hiyo mechi .!!//..naimna kubwa hata wenzetu mda huu Mamelodi walivyoona tu tumepangwa.. nao wameanza kutufuatilia kwa njia nyingi.. sasa sisi tusije bweteka kumbe wenzetu wakatuwahi...mpira una mambo mengi sna usipomuwahi mwenzio akikuwahi ww umeisha.. hivyo ndugu zangu wote na viongoz wote wa Club na matawi...!! tuanze kuitana kwa jili ya kujadiri mechi hiyo..Viongoz wetu nawakubal sna najua mda huu wanaandaa vikao vya siri sna ...bai na sisi tusilale kama wana Yanga na wanachama ...tuanze kupiga sim popote pale ...ili tu kupeana hamasa hii//!! Mazembe tulimuweza kwetu na kwao//!!! hata hao tutawaweza tu tutajishugulishe na sisi katika vita hii.

.Nimalizie kwa kusema
hivi..

.YANGA DAIMA MBELE..NYUMA MWIKO...Aluta Continua......hamasa iendelee mda huu...popote ulipo na ujumbe huu mwambie na mwana Yanga ausome ...wote tunaka furaha ila sasa lazima damu na jasho vitutoke kufikia mafanikio yetu kwa pamoja

....Wanaaaaaanchiiiiiiiii Tushikamane
 
HABARI WANA YANGA!?

Leo tumeshuhudia wote makundi yalivyopangwa..Tumeona Yanga vs Mamelodi. ...pasipo kuogopa uwekezaji wao kama club !! lakin hata sisi Yanga tuna uwezo mkubwa ...uwezo wetu unaanzia kwenye mfumo wa uendeshaji wa Club yetu..Yanga sc...Tumepata viongoz wachapa kazi na wabunifu sna tunajivunia hilo ..lakin pia tuna matawi ambayo yamebeba watu mbali mbali ambao ni wanahama wafia timu

........Angalizo...

..Hii mechi tukisimama wote kwa umoja na ushirikino wetu kama wana Yanga// Tunaweza kumpiga mamelodi na kutinga nusu final Caf...yes inawezekana kabisa tumewahi kufanya hivyo

......Wito......

1... kwanza kabisa tuwaunge mkono Viongoz wetu wa club !!! pia wachezaji na benchi la ufundi...

2.Sisi wana Yanga woote popote ulipo!! hamasa iwepo kubwa sna kuelekea mchezo huo , hasa pale kama tu watasema tutaanzia nyumbani...

3 ..Tusimame sasa kuhakikisha mechi hizi mbili away & home tunapata ushindi..kama ilivyo kuwa kwa mazembe na Malumo

4/.viongoz wa matawi yoote ya Yanga sc //!! sasa ni mda wa kuitisha vikao vya zile kamati zetu za Siri

5.!/ Viongoz mbali mbali wa dini zote ..sasa ni mda wa kuomba Dua na sala..


.NB...

Kila mwenye imani yale aanze kuandaa lolote la kuifanya Yanga ikavuka hiki kiguzi cha kutinga nusu final ...hapa tukumbuke kauli ya afisa wetu wa habar alisema mwenye chochote atakachoona kitasaidia tim kushinda siku hyo aje nacho..ile.kauli bado inaish na iendelee kufanya kazi vilivyo..tusiwe wamaneno mengi sasa tuwe na mda wa kutafakari na kuhakikisha vitendo zaid kuliko maneno..tufanye kazi zetu kimya kimya kwa kumshirikisha Mungu hakika tutaweza kufika oale tunapopataka...ni vita ya wote na inatakiwa wote tuingie vitan !! kwa kila mmoja na style yake...Humu ndani zamani tulikuwa na ule utaratibu wa mikeka...sasa tuliusitisha kwa sababu maalumu.. naomba ule utaratibu wa kuchanga pesa basi hamishia kwako mwenyewe na tawi lako au watu wako wawili au watatu ...wapo watu ni wazur sna na wanajua hesabu za hiz mechi vzr mno !!!/na wengine wanajua kuomba Sala+ na kusoma Dua !!!//hivyo kwa kila mmoja na iman yake ,,apambane vilivyo kuhakikisha Yanga tunatoboa..Ni mda sasa wa kuacha kujadiri mambo mengne hebu tujikite na tuanze kuwaza hiyo mechi .!!//..naimna kubwa hata wenzetu mda huu Mamelodi walivyoona tu tumepangwa.. nao wameanza kutufuatilia kwa njia nyingi.. sasa sisi tusije bweteka kumbe wenzetu wakatuwahi...mpira una mambo mengi sna usipomuwahi mwenzio akikuwahi ww umeisha.. hivyo ndugu zangu wote na viongoz wote wa Club na matawi...!! tuanze kuitana kwa jili ya kujadiri mechi hiyo..Viongoz wetu nawakubal sna najua mda huu wanaandaa vikao vya siri sna ...bai na sisi tusilale kama wana Yanga na wanachama ...tuanze kupiga sim popote pale ...ili tu kupeana hamasa hii//!! Mazembe tulimuweza kwetu na kwao//!!! hata hao tutawaweza tu tutajishugulishe na sisi katika vita hii.

.Nimalizie kwa kusema
hivi..

.YANGA DAIMA MBELE..NYUMA MWIKO...Aluta Continua......hamasa iendelee mda huu...popote ulipo na ujumbe huu mwambie na mwana Yanga ausome ...wote tunaka furaha ila sasa lazima damu na jasho vitutoke kufikia mafanikio yetu kwa pamoja

....Wanaaaaaanchiiiiiiiii Tushikamane
Imekaa vizuri.....
 
Skudu na Guede wanacheza namba moja?
Skudu na Okrah una mchagua nani?

Skudu na Guede wanacheza namba moja?
Skudu na Okrah una mchagua nani?
apo kocha alimpanga musonda winga na guede mbele ndio nikajisemea ivo, kwa skudu na okrah wote kwangu fresh wanavitu ambavyo napenda kuviona kwa winga aanze yeyote ila sio guede pale mbele ni bora tusicheze na striker tu na magoli yataingia km kawaida kwa uchezaji wake haendani na kasi ya yanga yule jamaa.
 
NAPENDA kujua kama yanga imewahi kuingia hatua ya robo fainali Kwa mashindano ya klabu bingwa mara ngapi , na ni miaka ipi? Asante
Yanga ndio Timu ya kwanza kuingia Robo Fainali CAF na hii ndio mara ya Tatu ilifanya hivyo mara mbili mfululizo mwaka 1969 na 1970 kwa Takwimu za Gharib Mzinga Pale Azam TV!!
 
Mshike huyooooo
1000027489.jpg
 
Kikosi cha Dar es Salaam Young Africa.

kutoka kushoto juu Salum Kabunda Ninja, Conatantino Kimanda, Nyanda Steven Nemes, Keneth Mkapa na Seleman Mkati.

Walio chuchumaa kutokea kushoto Chini. Ni Nicko Bambaga, Sekilojo Chambua, Edibily Jonas Lunyamila, James Tungaraza na Striker Said Mwamba Kizota.

IMG_0133.jpeg
 
Back
Top Bottom