Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 11,626
- 22,004
Mumlambie wp wiki Jana mlitamba xana humu mpira unaisha tu tiii tayari ila Leo sijaona MTU cjui thread ya ndala fc haionekani!!!Leo tena tumlambe mjelajela.
Aiseee. Patachimbika leo.Leo
16:00
YOUNG AFRICANS
Vs
AZAM
Aiseee. Patachimbika leo.
Hahahaa. Pole sana rafiki. Huwa saa nyingine tunaumia ila ndio hivyo upenzi uko damuni.Hii mipira ya bongo nimeikalia mbali mno haina mwelekeo bora nikose uzalendo nashabikia wazungu wa la liga na EPL
Hahahaa. Pole sana rafiki. Huwa saa nyingine tunaumia ila ndio hivyo upenzi uko damuni.
"Daima mbele nyuma mwiko"
Mie nilikuwa nashabikia zamani EPL ila kwa sasa nishaacha mwaya.
Yaani wacha kabisa ila najipa moyo tutashinda.Yanga naipenda ila duh haitabiriki. All the best kubaki chamani.