Kazi kazi mkuu, tunampiga leo Singida UnitedNamna hiyo....Yanga SC.
Haswaaaaaaaaaa. Halina ubishi.Kazi kazi mkuu, tunampiga leo Singida United
Tumetoka sare ya bila kufungana mkuu, sio mbaya point 1 ugenini ila tuna mapungufu madogo madogo.Tupeni matokeo, Singida vp
Safi sana.FT YANGA 5-0 MBEYA CITY
Ile mipasi ya ajib inaitwa gusa ujambe