Rorscharch
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 1,431
- 3,070
Aliyeiuza South Afrika kwa makaburuView attachment 3285240
Tata madiba
Aliyeiuza South Afrika kwa makaburuView attachment 3285240
Tata madiba
Eti!Alikuja Mpaka Tanganyika Huyu Che
IAliyeiuza South Afrika kwa makaburu
Afrika kusini ya sasa (95% + ya rasilimali zote kumilikiwa na makaburu pamoja na wageni) ilianza mwaka 1994Lakini ni madai na hayakuthibitishwa mkuu
I
Ni kweli kabisa lakni hata hivo makaburu ndio wameijenga ile nchi kwa mimi naona sahihi itawaliwe na kaburu sote tunaona nchi nyingi za kiafrika upande wa rasilimali ni wababifu kutunza.Afrika kusini ya sasa (95% + ya rasilimali zote kumilikiwa na makaburu pamoja na wageni) ilianza mwaka 1994
Hawa wakuu naomba maelezo yao tafadhaliBonnie and clydeView attachment 3285265
Walikuwa ni wapenzi waliomiliki genge la majambazi na kuvitesa vyombo vya usalama vya marekani kwa wakati huoHawa wakuu naomba maelezo yao tafadhali
Taka taka ya bulyamhulu.Ben mkapa
View attachment 3285235
Huyo Hitler mweke kundi Moja na mwenzie PinnoChet😁Mmeanza kuchanganya Sasa. Sa Escobar atakuwaje kundi Moja na The Che Guevara?
Hitler anakuwaje kundi Moja na Castro?
Mobutu kundi Moja na The fallen Rock Colonel Gadhafi ni kumkosea canali.
Duh kwa mimi naona Ben Mkapa alikua anafocus sana na hii nchi.Taka taka ya bulyamhulu.
Aliiuza sana akawa chanzo Cha viongozi kumiliki RASILIMALI binafsi kiubia ubia.Duh kwa mimi naona Ben Mkapa alikua anafocus sana na hii nchi.
BenjaBen mkapa
View attachment 3285235