You can't believe this...OMG

cheusimangala

JF-Expert Member
Feb 27, 2010
2,585
497
naomba msaada kwa wadau na kwako zeze pia, mimi ni mwanamke ,niliye katika ndoa kwa miaka 6 sasa, na nimebahatika kupata watoto 2 tayari. ila nina tatizo kubwa saana kwenye ndoa yangu, kutokana na kwamba mume wangu amekuwa limbukeni saana wa ,wanawake wa nje wenye makalio makubwa kiasi kwamba mara kwa mara nimekuwa nikimfumania na wanawake wa aina hiyo, lakini aliponichumbia na kunioa alijua kabisaa kuwa mimi nina umbo la kawaida lakini ghafla alianza kunishawishi nitafute dawa za kuongeza makalio , kiukweli swala hili limekuwa gumu kwangu saana kutokana na maadili na malezi niliyokulia, ajabu juzi nimemfuma tena na mwanamke mwenye makalio na jibu alilonipa mi mwenyewe nilichoka kwani aliniambia chukua hizi laki 2, nifanye juu chini nipate dawa za kuongeza makalio...na kama makalio yangu hayataongezeka kwa miezi miwili basi nijiandae kumpokea mke mwenzangu. shamim nampenda saana mume wangu siko tayari kabisa kuachwa mungu atanisamehe naomba jamani mnielekeze hizo dawa nitazipataje na zinaitwaje wala msitaje majina yenu ,nielekezeni tu ili niinusuru ndoa yangu maana mo mpaka sasa sijapata hata kazi huyu mume wangu ndio kila kitu kwangu
nisaidieni jamani

NB :NIMEIKUTA HII HABARI KWENYE BLOG YA 8020 NIKAONA NISHARE NA NYIE.
SIJAPATA KUONA MWANAMKE MGONJWA KAMA HUYU,AMENISIKITISHA SANA,YAANI SIAMIN KAMA MTU MWENYE AKILI TIMAMU ANAWEZA KURUHUSU VIDOLE VYAKE KUANDIKA KITU KAMA HICHI

 
psychic+desperation =wehu! akishapata makalio feki atampa sharti lingine (una kifua kikubwa,kakatwe manyonyo!). muambie ampe na mumewe sharti analotaka yy,aongeze kiungo chaguliwa au ndani ya deadline waangalie kama wameshindwa wote wapeane adhabu (kila mtu akalete choice yake!!)
 
Aiseeee....kama hatanii basi kazi anayo.
Ndo matatizo ya kuolewa ili upate kula...mume mwenyewe anajua mke hana ujanja...mke nae ndo huyo anakubali kuangukia pua.Achukue hizo laki mbili alafu arudi kumwambia kaambiwa kuna dawa inayofanya kazi instantly ila ni ghali kidogo kwahiyo aongeze kilo kadhaa...then achukue hizo pesa akaanzishe hata kabiashara kake ka mitumba aanza maisha yake mwenyewe.
 
Huyo mwanamume ni kicheche tu!! Hana cha kupenda ****** makubwa wala nini!
Cha muhimu ni kuachana naye kwani ukiendelea kuishi naye ndio unakaribisha maradhi!
 
psychic+desperation =wehu! akishapata makalio feki atampa sharti lingine (una kifua kikubwa,kakatwe manyonyo!). muambie ampe na mumewe sharti analotaka yy,aongeze kiungo chaguliwa au ndani ya deadline waangalie kama wameshindwa wote wapeane adhabu (kila mtu akalete choice yake!!)

mi naona kama huyu anafukuzwa sema tu kwa vile ni tegemezi ndo kaishia kuwa kinganganizi.
huyo mume anaonekana ni kibiriti kisichotingishika mbele ya huyo dada,hivyo dada hawezi kumtisha kwa sharti wala nini,ila kazi ipo.
 
Code:
naomba jamani mnielekeze hizo dawa nitazipataje  na zinaitwaje wala  msitaje majina yenu ,nielekezeni  tu ili niinusuru  ndoa yangu  maana mo  mpaka sasa sijapata  hata kazi huyu mume wangu ndio  kila kitu kwangu
nisaidieni jamani

kwani ka kwambia ya kuwa utaachika au ni wasiwasi wako? Vyema akuache utapata bora zaidi ya huyo humu humu jamvini......mpige kibuti ashike adabu yake.............kama anayo........................kama hana ashike masikio yake.............kama anayo na kama hana........

  • :pound:
 
Aiseeee....kama hatanii basi kazi anayo.
Ndo matatizo ya kuolewa ili upate kula...mume mwenyewe anajua mke hana ujanja...mke nae ndo huyo anakubali kuangukia pua.Achukue hizo laki mbili alafu arudi kumwambia kaambiwa kuna dawa inayofanya kazi instantly ila ni ghali kidogo kwahiyo aongeze kilo kadhaa...then achukue hizo pesa akaanzishe hata kabiashara kake ka mitumba aanza maisha yake mwenyewe.

huu ndio ushauri, ila mtu kama mimi nikigundua umenidanganya nakuchinja!
 
naomba msaada kwa wadau na kwako zeze pia, mimi ni mwanamke ,niliye katika ndoa kwa miaka 6 sasa, na nimebahatika kupata watoto 2 tayari. ila nina tatizo kubwa saana kwenye ndoa yangu, kutokana na kwamba mume wangu amekuwa limbukeni saana wa ,wanawake wa nje wenye makalio makubwa kiasi kwamba mara kwa mara nimekuwa nikimfumania na wanawake wa aina hiyo, lakini aliponichumbia na kunioa alijua kabisaa kuwa mimi nina umbo la kawaida lakini ghafla alianza kunishawishi nitafute dawa za kuongeza makalio , kiukweli swala hili limekuwa gumu kwangu saana kutokana na maadili na malezi niliyokulia, ajabu juzi nimemfuma tena na mwanamke mwenye makalio na jibu alilonipa mi mwenyewe nilichoka kwani aliniambia chukua hizi laki 2, nifanye juu chini nipate dawa za kuongeza makalio...na kama makalio yangu hayataongezeka kwa miezi miwili basi nijiandae kumpokea mke mwenzangu. shamim nampenda saana mume wangu siko tayari kabisa kuachwa mungu atanisamehe naomba jamani mnielekeze hizo dawa nitazipataje na zinaitwaje wala msitaje majina yenu ,nielekezeni tu ili niinusuru ndoa yangu maana mo mpaka sasa sijapata hata kazi huyu mume wangu ndio kila kitu kwangu
nisaidieni jamani

NIMEIKUTA HII HABARI KWENYE BLOG YA 8020 NIKAONA NISHARE NA NYIE.
SIJAPATA KUONA MWANAMKE MGONJWA KAMA HUYU,AMENISIKITISHA SANA,YAANI SIAMIN KAMA MTU MWENYE AKILI TIMAMU ANAWEZA KURUHUSU VIDOLE VYAKE KUANDIKA KITU KAMA HICHI


hizo ni riwaya tu wewe cheusi, hakuna ukweli hapo, ila na wewe upunguze uzururaji, huko kwenye blog sijui ya nanihii ulifuata nini? ona sasa unavyofungwa kamba na watoto wa mjini!!
 
ila mim nimetafakari nikaona kuwa inawezekana huyu dada katunga hii story ili aweze tu kuelekezwa jinsi ya kupata hiyo dawa,
usikute hata hajaolewa ni lishangingi tu linataka kuongeza makalio lipande bei,
hivi magreat thinker mnaamini kuwa kuna mwanaume anayeweza kumpa mkewe pesa akaongeze makalio?
ila wehu wapo lkn hata kama sina ajira ndo kweli nikubali kufanya huu upuuzi,je nikifa kwa hayo madawa au nikiparalize huyo mwanaume atanijali,this is real sad.
 
wifi taratiibu somo linaingia. tena aseme dr kasema anataka ka-rav 4 (apate kianzio,lol)

Aiseeee....kama hatanii basi kazi anayo.</p>
<p>Ndo matatizo ya kuolewa ili upate kula...mume mwenyewe anajua mke hana ujanja...mke nae ndo huyo anakubali kuangukia pua.Achukue hizo laki mbili alafu arudi kumwambia kaambiwa kuna dawa inayofanya kazi instantly ila ni ghali kidogo kwahiyo aongeze kilo kadhaa...then achukue hizo pesa akaanzishe hata kabiashara kake ka mitumba aanza maisha yake mwenyewe.
</p>
<p>&nbsp;</p>
 
mnh hao wenye blogs nahisi wanatungaga tu mambo mengine kuendelea kupata hits....mie sidhani kama hii stori ina ukweli na kama ni kweli basi dunia imekwisha,huyo mwanaume atakuwa muhuni tu mbona asitulie na mwanamke mmoja mweye makalio makubwa anawabadilisha kama nguo mnh
 
huyo mwanaume anaendekeza ulofa! what is so special with makalio?? mi naona amakalio huwa ni fahari ya macho tuu. na huyo mwanamke naye ni lofa hajitambui kabisa, kwa sababau for the time being men are not scarce resource. akikuzingua unatafuta mwingine!
 
Code:
naomba jamani mnielekeze hizo dawa nitazipataje  na zinaitwaje wala  msitaje majina yenu ,nielekezeni  tu ili niinusuru  ndoa yangu  maana mo  mpaka sasa sijapata  hata kazi huyu mume wangu ndio  kila kitu kwangu
nisaidieni jamani

kwani ka kwambia ya kuwa utaachika au ni wasiwasi wako? Vyema akuache utapata bora zaidi ya huyo humu humu jamvini......mpige kibuti ashike adabu yake.............kama anayo........................kama hana ashike masikio yake.............kama anayo na kama hana........


  • :pound:

hapo penye red,sio mim niliyeambiwa hayo,mm nimeicopy na kuipaste tu humu sbb imenishangaza.
 
..ashike nanihii yake,kama hana sasa sijui itakuwaje?

Code:
naomba jamani mnielekeze hizo dawa nitazipataje &nbsp;na zinaitwaje wala &nbsp;msitaje majina yenu ,nielekezeni &nbsp;tu ili niinusuru &nbsp;ndoa yangu &nbsp;maana mo &nbsp;mpaka sasa sijapata &nbsp;hata kazi huyu mume wangu ndio &nbsp;kila kitu kwangu</p>
<p>nisaidieni jamani
</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>kwani ka kwambia ya kuwa utaachika au ni wasiwasi wako? Vyema akuache utapata bora zaidi ya huyo humu humu jamvini......mpige kibuti ashike adabu yake.............kama anayo........................kama hana ashike masikio yake.............kama anayo na kama hana........</p>
<p><ul><li> <img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/pound.gif" border="0" alt="" title="Pound" smilieid="247" class="inlineimg" /> </p>
<p> </li></ul>
</p>
<p>&nbsp;</p>
 
hizo ni riwaya tu wewe cheusi, hakuna ukweli hapo, ila na wewe upunguze uzururaji, huko kwenye blog sijui ya nanihii ulifuata nini? ona sasa unavyofungwa kamba na watoto wa mjini!!

hata mim natamani kuamin hivyo,ila wapo wadada kweli kabisa wanaapa kuwa wakipata hizo dawa wanatumia.
 
Loooo haiwezekane, ajiharibu mwili wake sababu ya kiumbe asiyetosheka, akiwa nayo makubwa atataka madogo sijui atayakata?
 
ila sijui kwa nini wanawake hawapendi financial independence kwa kweli! imefika wakati mtoto wa kike akisema nataka kuleta mchumba,mamake amuulize una tembo card master card? manake inahuu vibaya sana!
afu miwanawake kama hii hata ukimpa mchongo wa kazi anabinjua pua 'mme wangu hapendi, ama siwezi'. damnit!

mi naona kama huyu anafukuzwa sema tu kwa vile ni tegemezi nkaishia kuwa kinganganizi.</p>
<p>huyo mume anaonekana ni kibiriti kisichotingishika mbele ya huyo dada,hivyo dada hawezi kumtisha kwa sharti wala nini,ila kazi ipo.
</p>
<p>&nbsp;</p>
 
Kama mwanaume ni muhuni
ni muhuni tu..leo atamwambia
ongeza **** kesho atakwambia
punguza **** khaaaaaa..
Embu acha kuishi ajili ya mumeo
ishi ajili yako na wanao.. na vipi
hizo dawa zikikudhuru???

kweli unahitaji msaada mami
yaelekea huyo mwanaume
kakufunga kwenye kidole kidogo
wafanya atakalo..pole sana....

saa nyingine mambo mazuri
yanamwisho ..Binafsi naona bora
akuache kuliko kuhatarisha maisha
yako.. huu ni mwili wako kama we
unataka kufanya ajili yako na furaha
yako binafsi labda lakini usifanye ajili ya mtu mwingine.. achana na huyo mbwa mwitu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom