You can tell a person's character by the phone they use:

You can tell a person's character by the phone they use:

Hahaha bora uneona kuwa si bure.. Kongosho anahitaji kuzungumza na wewe nadhani....
Ha ha ha ha, yaani nimejikuta nimecheka haZarani


Haiwezekani aisee.....

Yaaani nijipige RIP eti mtaelea wajukuu zangu....

No, please...!!

Babu DC!!
Asante babu, endelea kutulea

Alishashindwa masharti kwa sababu ya evil intentions....

Nimwambia aombe ruhusa kwa Bibi DC akashindwa....

Labda kama unataka kumsaidia...Ila utakuwa na hakika kwamba hiyo roho ya jinai imekatika??

Babu DC!!

Kaizer mbaya sana
Eti anaomba P.O Box ya bibi ili awasiliane naye
 
It doesn't matter what we ve.......what matters is who we are........got it?
 
jamani imenibidi nicheke tuuuuu to some extent ni kweli.
 


What did u just say about us?
partner hiv ni kunisahau,ni kuniacha solemba,ni kunitupa kapuni,ni kunipotezea ,ni kutokujali,ni kujifanya hujui kuwa umenimiss,ni kutokujua la kufanya au ndo ishakuwa story tena!
ehehehhehe wapi wewe bana! hebu do ze needfull!
 
Last edited by a moderator:
Kwendeni zenu huko...

Babu hataki uchokozi uchokozi usio na tija...

Babu DC!!
babu basi ngoja nikuhadisie!
wakati nipo kigoliiiii,eheheheh yani wakati yule mtuhumiwa wako anaaanza ubarobaro wake!
wenzie wakija na kujifanya kunitania tania shemejiiii!shemejiiii!mi ndo nilikuwa natoa hilo jibu hapo kwenye bold!
ahahahahhahah AHSANTTE SANA BABU kwa kunikubusha enzi zangu za ujana!
nyie Kaizer Kongosho na FP HEBU KWENDENI HUKO!
 
Last edited by a moderator:
babu basi ngoja nikuhadisie!
wakati nipo kigoliiiii,eheheheh yani wakati yule mtuhumiwa wako anaaanza ubarobaro wake!
wenzie wakija na kujifanya kunitania tania shemejiiii!shemejiiii!mi ndo nilikuwa natoa hilo jibu hapo kwenye bold!
ahahahahhahah AHSANTTE SANA BABU kwa kunikubusha enzi zangu za ujana!
nyie Kaizer Kongosho na FP HEBU KWENDENI HUKO!
hapo kwenye kwendeni zenu sijui kama mimi nimo, nilishaachaga kumtania babu zamani sana.
eti babu Dark City na mimi nimo?
 
Last edited by a moderator:
partner hiv ni kunisahau,ni kuniacha solemba,ni kunitupa kapuni,ni kunipotezea ,ni kutokujali,ni kujifanya hujui kuwa umenimiss,ni kutokujua la kufanya au ndo ishakuwa story tena!
ehehehhehe wapi wewe bana! hebu do ze needfull!
Kwanza kabisa sijakusahau na kamwe siwezi kukutupa
Tatizo nimekuwa busy kiasi cha kutoonekana hapa,
Pamoja na hayo yote moyoni mwangu iko yako chapa,
Si unajua nikikukosa nitabaki natapatapa?

Majukumu yamekuwa mengi na kusafiri kukazidi sana,
Leo niko hapa kesho pale kama mtalii toka China,
Mwisho nikafika Arusha na wajanja wakanipigia plana,
Wakanibebea walivyobeba nikabaki mtupu, Maulana!

Hata hivyo bado nipo, maana uhai bado upo tele,
Nafuatilia kinachotokea japo sipigi makelele,
Kujali najali sana tena na mapenzi yamejaa tele,
Usihofu partner wangu, mi na wewe milele
 
Kwanza kabisa sijakusahau na kamwe siwezi kukutupa
Tatizo nimekuwa busy kiasi cha kutoonekana hapa,
Pamoja na hayo yote moyoni mwangu iko yako chapa,
Si unajua nikikukosa nitabaki natapatapa?

Majukumu yamekuwa mengi na kusafiri kukazidi sana,
Leo niko hapa kesho pale kama mtalii toka China,
Mwisho nikafika Arusha na wajanja wakanipigia plana,
Wakanibebea walivyobeba nikabaki mtupu, Maulana!

Hata hivyo bado nipo, maana uhai bado upo tele,
Nafuatilia kinachotokea japo sipigi makelele,
Kujali najali sana tena na mapenzi yamejaa tele,
Usihofu partner wangu, mi na wewe milele
pole kwa yalokufika,sikujua kama uko shidani
lana iwajae waja,walokutia umasikini
walochukua si hoja,bora roho i mwilini
mie sina hali mahamumu,sikumbuki nilicheka lini

bora urudi nitue,yamenilemea moyoni
umekuja nisikie,ya siku nyingi kifuani
nambie na niyajue,ulopitia upwekeni
mie sina hali mahamumu,sikumbuki nilicheka lini

ya simu tuyasahau,muachie Kaizari
mie na weye mahamumu,tuna mengi tarazari
nataka niachie tabasamu,japo sina blakiberi
mie sina hali mahamumu,sikumbuki nilicheka lini!
 
Last edited by a moderator:
pole kwa yalokufika,sikujua kama uko shidani
lana iwajae waja,walokutia umasikini
walochukua si hoja,bora roho i mwilini
mie sina hali mahamumu,sikumbuki nilicheka lini

bora urudi nitue,yamenilemea moyoni
umekuja nisikie,ya siku nyingi kifuani
nambie na niyajue,ulopitia upwekeni
mie sina hali mahamumu,sikumbuki nilicheka lini

ya simu tuyasahau,muachie Kaizari
mie na weye mahamumu,tuna mengi tarazari
nataka niachie tabasamu,japo sina blakiberi
mie sina hali mahamumu,sikumbuki nilicheka lini!
Ni bora wangeiba simu, maana nina uhakika ningeipata,
Hizi simu za siku hizi, popote utakapokwenda zitakusuta,
waliniibia ka laputop kangu, na dokumenti zote sikupata,
Nimerudishwa nyuma kitaarifa, nimeanza upya kuzitafuta,

Pole sana laaziz, kama ulibaki pweke,
Nimeumia sana moyoni, kusikia mambo mengi yamekufanya usicheke,
Naomba usisikitike sana, naomba kidogo japo ucheke,
Usijali wangu maamuma, tuungane pamoja na tucheke,

Nasikitika sana kukukosa, kwa kipindi hiki nilichopotea,
Naomba nikuthibitishie, moyoni mwangu daima unaelea,
Hata kama usiponiona, jua kwangu wewe umemea,
Nafurahi kukuta mzima, na sasa pamoja tutaendelea,
 
babu basi ngoja nikuhadisie!
wakati nipo kigoliiiii,eheheheh yani wakati yule mtuhumiwa wako anaaanza ubarobaro wake!
wenzie wakija na kujifanya kunitania tania shemejiiii!shemejiiii!mi ndo nilikuwa natoa hilo jibu hapo kwenye bold!
ahahahahhahah AHSANTTE SANA BABU kwa kunikubusha enzi zangu za ujana!
nyie Kaizer Kongosho na FP HEBU KWENDENI HUKO!

Ulikuwa unayasema hayo kutoka moyoni?

Si unajua enzi zetu tulikuwa tunafikishiana ujumbe kwa mwendo wa reverse!
 
Alishashindwa masharti kwa sababu ya evil intentions....

Nimwambia aombe ruhusa kwa Bibi DC akashindwa....

Labda kama unataka kumsaidia...Ila utakuwa na hakika kwamba hiyo roho ya jinai imekatika??

Babu DC!!


Hivi Kongosho unaweza kuangusha chama lako namna hii?

CC snowhite
 
Last edited by a moderator:
1. Blackberry = Attention seeker
2. Sony = Misunderstood
3. Apple iPhone = Classy
4. Nokia = Very loyal
5. LG = Loner, kinda boring
6. Samsung = All about style
7. Motorola = Old school
8. HTC = Very serious about life
9. ZTE = Settles for less
10.Huawei = just awesome.
11 Those phones with 2 sim cards = boring always
12. Techno = pretenders
where do you fall?

ma self is # 3 and FirstLady1 #6

Sasa mimi sijui niko wapi maana yangu ni 'SAGEM'
 
Last edited by a moderator:
Halafu snowhite unaleta ujanja wa fenesi kuning'inia mtini eeeh? Nakuangalia tu
 
Last edited by a moderator:
hahahaha Kongosho nitakuwa sikusaidii ujue,,, si unaona babu Dark City apo kanipa option, sasa usintibue nikahamia timu nyingine....

Hivi bado unafikiria kufanya experiment ambayo imefeli kwenye kila attempt?

Haya bwana.....thesis yako ikifuba usije kutulilia..

Babu DC!!
 
Back
Top Bottom