mimi nipo mzungu je nije huko kukuowa? my age is 48.age aint a thing but a number,am looking for white man myself...old lol
Kupata makaratasi itabidi uowe mwanamke umri kama wa mama yako ili mradi upate makaratasi ya kuishi Ulaya jamani kuishi kuna kazi jamani wabongo wenzangu msije huku maisha magumu sana kuowa itabidi uowe vinyanya ili uweze kuishi na kupata kazi kweli na ulaya yetu hii.Kijana wa Ki Nigeria akivuta jiko lake...
Hili ni jiko au jokofu?????
View attachment 50635
Boflooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Kafuata makaratasi ya kuishi Permission to live pasipo kuowa hawezi kupata kazi wala ruhusa ya kuishi ulaya.enheeeeee!!
kafuata nini??
dadavua basi.....
Mkuu sio njaa ni njia ya kuishi. Hayaja kukuta wewe kama wewe upo Tanzania bora uishi huko kuliko kuja huku nje ughaibuni, ni matatizo tu hakuna maisha mazuri kama kuishi nyumbani . Home is best mkuu kuna huku Wanigeria wanafanya kazi za kuokota chupa mbovu Matakataka mabox ili waweze kuishi ukiwaona utawaonea huruma pasipo na hivyo wataishi kivipi mkuu? tembea ujionee mwenyewe njoo ulaya uone watu wanavyoishi.Dah! Njaa mbaya sana aisee!