You are not my type

Umenikumbusha mbali, kuna hawa walikua wanaitwa ma TX, kuna demu mmoja wa kizungu nilimtokea nikampa somo , ili niruke na ngozi nyeupe, alichoniambia ni kwamba " I am not suitable for you" Mara ya kwanza nilijua kanidharau, ila baada ya muda akanifuata mwenzake wa kiume, akaniambia " if you really wanna get that girl , stick to what you have planned " niligonga yule demu mpaka anaondoka TZ, alikua anasikitikia atakachokosa TZ.
 
Kiukweli kaka zangu mnakutana na changamoto sana, ningekuwa mwanaume mimi sidhani kama hata ningetongoza
 
Hahaha utakapokuwa kwenye bei ya promotion
 
Shida ni pale unapoambiwa sio type yangu huku likiambatanishwa na Msonyo,Kunyali, na kunithaminisha kutoka Kichwani hadi miguuni....

Tofauti na hapo hiyo ni sentensi ya kawaida sana na inaelekweka vyema.
Haha ni kweli kabisa
 
bora umpotezee kimya kimya. ...
siku za usoni unakutana naye ndio unavutiwa naye. ...utashindwa kurudisha maneno nyuma. ....
Yaaa, huo ndio uungwana, tukiongea tusimalize maneno yote, tuache na maneno ya akiba. Ili kesho tupate pa kuanzia,
 
Busara ni kitu kizuri sana endapo umejaliwa hilo maana busara nayo sio kama tako kila mtu analo

Kuna mtoto mmoja wa kike ashaniambia hivyo kipindi hiyo analiwa na wazee type ya Kina Kimei au Laswai

Nikaona isiwe ishu mama tembea na gepu

Ukapita muda huyu Mungu sio Athuman kanikuta sehemu na wa kumsaidia ni mimi alitamani ardhi ipasuke azame

Basi mie nikamsaidia hakuamini ,ndio kuanza kujipendekeza na mambo yangu elfu 15 yananisumbua naanzia wapi tena kuhangaika naye nikafunga vioo na mimi nikatambaa na gepu langu

Naimani alijifunza kitu japo ilishakuwa too late .
 
Ninyi wanaume wa sikuhizi si mnadai hamna muda wa kupoteza kumfatilia mwanamke akikwambia NO ndio byebye.
 
hapo mwisho hapoo
 
See that’s what I am talking about especially if you’re in LOVE with that girl/lady.

 
Haha kwa nini unaamini hutokaa uambiwe tena?

Mara nyingi hili jibu linakuja baada ya kulazimisha sana, unajibiwa no, unaforce kuuliza kwa nini, unaambiwa basi tu, unang'ang'ania. Hilo ndilo jibu linalofata.

Sasa hivi ukinijibu no nafunga chapter, siulizi sababu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…