nakumbuka tulikua mahali jamaa akawa anavuta fegi, dada mmoja akamwambia kaka moshi huo...jamaa alimshushia matusi akammalizia na “ukimwi unaukatikia mauno afu unanibania pua kaka moshiii (huku kabana pua)”, kila mtu alicheka aiseee
mtu kama huyu ukisema umjibu namna hii utafurahi na roho yako
Ok......Wacha tukubaliane kutokubaliana
Mangi wewe umedadavua vizuri, nilitaka kuweka mfano hiyo scenario yako nikafuta baada ya kuona uzi unakuwa mrefu mnoKawaida,
Kuna mwenzio nimemwambia yeye sio aina ya mwanamke naetaka kuwa nae.
Yeye ni mlokole, mkimya, anavaa manguo makubwaaaa....
Mangi hada dini, mcheshi na mkorofi, anapenda type zinazovaa min sket, skin jins.....
Akacheka akasema kweli hatuwezi endana....
Nilisha ambiwa pia hivyo na mwanamke mwenzio kuwa mimi sio type yake....
Hakunipa sababu lkn, ila nilichukulia poa...
Nilichukulia poa kwakua sitongozagi kwa kukumpenda mtu....
Chakufia nini???
Wewe khatwe ni type yangu.....Mangi wewe umedadavua vizuri, nilitaka kuweka mfano hiyo scenario yako nikafuta baada ya kuona uzi unakuwa mrefu mno
Kama unaona, vilee.Haya maneno wanasema wale ambao wapo kwenye umri wa kuchanua, maisha yakishawapiga wanaishia kuangukia pua
Money Penny
Bora mbuzi kwasababu kweli tunachunwa lakini nzi hapana..Mbuzi?
Pesa inapendwa na kila kiumbe kwa 90%. Hao 10% tunawatafuta kwa tochi.Mushi unaabudu sana pesa eeh?
Sawa mzee mwenzanguNi kweli, sisi wazee tunawazia moyoni tu