Dada mmoja, alikuwa form 6 nilimtokeaga mimi nikiwa zangu form 5 miaka kenda nyuma shule ya Mwakaleli high school- mbeya. Alinitoa nishai mbele ya kadamnasi ya watu sitasahau maneno yake "EMBU JIANGALIE VIZURI ACHANA NA MIMI SIKUTAKI NARUDIA SIKUTAKI NA UNIKOME HATA KUNISOGELEA"
Dada mmoja, alikuwa form 6 nilimtokeaga mimi nikiwa zangu form 5 miaka kenda nyuma shule ya Mwakaleli high school- mbeya. Alinitoa nishai mbele ya kadamnasi ya watu sitasahau maneno yake "EMBU JIANGALIE VIZURI ACHANA NA MIMI SIKUTAKI NARUDIA SIKUTAKI NA UNIKOME HATA KUNISOGELEA"
Hilo ndilo la kushangaza me mtu akishandharau sina mda nae atafte tu type yake. Ukishindwa kutumia mdomo vzur n tatzo kuna muda n bora kukaa kmya kuliko kutoa kauli mbayaHawa nao wanakuwa wambea, wakati anaingia kwenye mahusiano hakuona kuwa we si type yake?
Asante ilinichoma kama pasi maana alitamka kwa nguvu tena mbele ya baadhi ya wanafunzi wiki nzima siku ingia darasani mtoto wa watuHaha pole
Pesa kama kigezo? NoOk sorry lakini swali langu lilikua na maana kwamba,, unaweza kusema YES kwenye shida na raha I mean ukafuata hisia zako ukampenda mtu the way alivo either ni maskini au pia at some point unatumia pesa kama kigezo
Ulichonena ndicho nachokifanya mkuu.Pole sana mkuu,, Those who ignore you make sure they pay for it, I mean make money mkuu be happy
Nikiwa shule nakumbuka mwalimu wetu alikua jank tu lakini alikua na pesa mbaya he told us
"My boys don't waste your time chasing for butterflies just mending your garden they will come"
Ndotela kibonge namjua sanaUmesoma mwakaleli? Ndotela unamjua?
Daaah!! Mkuu unadharau sana yani sisi wanaume unatufananisha na nzi!!Hahahahaaaa Khantwe ukitaka kumfukuza nzi mpige vibomu tu...
Yaani akituma sms wewe jibu na kulia shida...
Atakimbia mwenyewe
Hahaha nilipita mikononi mwake, don't tell me ulipita apo?? Ndotela, sanga,agness,babu maison,mwl mama bahati nk. Kandete je town kwetu unapakumbuka? Ushawi kupakizwa kwenye lile toroli letu la wagonjwa na kukimbizwa hospital? Love road je kule tulipokuwa tunasimamisha minazi.??Haha kumbe kweli umesoma mwakaleli
Dah uzi umekuja muda sahihi kabisa. Jana nimechwana live na manzi ambaye nilimpenda sana afu tulikuwa na mazoea kinoma nikaona mbona muda unaenda na dalili nzuri naziona basi nikajiambia D jiongoze unaweza kuta ni mafriend tu afu ufunguki. Dah kufunguka naambiwa yuko na mtu wake tena anasema wako committed sana. Kiukweli sijawahi kuumia kiasi hiki huyu babe mama nilitamani sana awe manzi wangu wa milele lakini ndio basi tena ila inauma sana.
Ni kweli watu inabidi tuwe na uchaguzi mzuri wa manenoHili neno linachoma sana, sijawahi kukutana nalo ila kuna mchizi lilimpa hasira ya kutafuta maisha, mwanamke mwenyewe alikuja kuchoka vibaya kutoka kwenye nyodo hadi kuuza afu jamaa mambo yamemnyookea jamaa alikuja kumsaidia kumpatia kazi
Kabla ya kutamka neno, fikiri mara mbili
Haha hapana sijasoma hapo, huyo mdau tulifahamiana sehemu nyingine tu tofautiHahaha nilipita mikononi mwake, don't tell me ulipita apo?? Ndotela, sanga,agness,babu maison,mwl mama bahati nk. Kandete je town kwetu unapakumbuka? Ushawi kupakizwa kwenye lile toroli letu la wagonjwa na kukimbizwa hospital? Love road je kule tulipokuwa tunasimamisha minazi.??
Ohoo nimekupata; alikuwa kipenzi cha watu haswa ndotela, japo alinidai jembe na fyekeo nilipofata result slip yangu. Hiyo ndio shule ambayo yule Dada alinitoa nishai. Though nashukuru maana alinikomazaHaha hapana sijasoma hapo, huyo mdau tulifahamiana sehemu nyingine tu tofauti
Lala usiku umeenda.Haha hapana sijasoma hapo, huyo mdau tulifahamiana sehemu nyingine tu tofauti