Yono auction mart! Maswali mengi kuliko majibu

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,638
697,929
Makampuni ya minada ni biashara kama zilivyo biashara nyingine..... Ili iweze kuitwa biashara ni lazima kuwe na pande mbili muuzaji na mnunuzi kisha ni lazima kuwe na faida! Hasara ni bahati mbaya...
Kwenye hili kuna kuzidiana uwezo, nguvukazi, weledi mtaji na umaarufu

Yono ni mojawapo ya kampuni kongwe za udalali Tanzania ikiwa imeshafanya kazi kubwa na ndogo, z serikali na za mashirika mbalimbali na hata watu binafsi.... Mpinzani mkubwa wa Yono ni Majembe... Hawa unaweza kuwaita watani wa jadi... Cha kushangaza ni kwamba hizi kampuni mbili za udalali umaarufu wao huenda sawa na vipindi vya urais.... Nifafanue hapa!
Yono alikamata soko wakati wa mzee Mkapa, Majembe akakamata soko wakati wa brother JK..... Kipindi cha JK Yono alikuwa hoi hasa alipigika... JK alimpiga Yono chini kutokana na past record ya kuvurunda sana.....
Baada ya JK kung'atuka, aliyemfuatia akaipiga Majembe chini... Na si kupigwa chini tu bali na yeye mali zake kupigwa mnada baada ya kushindwa kesi ya madai wakati huo akiwa ni mkamataji wa wrong parking kwa niaba ya halmashauri ya Kinondoni... Kwasasa Majembe is no more!

Yono alikuja na nguvu mpya, kwa kasi ya ajabu kabisa awamu hii ya 5..... Lakini tayari historia yake inajirudia kwa kasi... PROVING BIG FAILURE...!!!
Ishu ya mnada wa mali za Lugumi kama Yono angeifanikisha ingemjenga parefu sana... Lakini wote tumeshuhudia sinema mwanzo MWISHO wa ule mnada ulioshindikana mara zote
The same old story inajirudia kwenye mnada wa makasha 20 yenye samani mbalimbali za ofisini.....
. Je ni coincidence?
. Je ni maelekezo maalum?
. Je Yono hana uwezo?
. Je anatumiwa?
. Je anafaidika?
. Je anafaidikaje?
. Je.....!?
. Je....!?
. Je....!?
Kwa utendaji wa Yono na historia yake maswali ni mengi kuliko majibu ila kuepuka ramli chonganishi tuache muda utasema... Muda ni hakimu mzuri.. Hajawahi kumwangusha mtu...!!!!

KACHUMBARI YA SALO NA MBILIMBI
bia zimepanda bei... Hazijashuka...! Kama tulivyotangaziwa na wateule

Jr
 
Ukiangalia historia kwa uzuri utaona kwamba Majembe ndio wenye nguvu kulinganisha na Yono.

Majembe (Venance Mwamoto na mama Ritta Kabati ndiyo wakurugenzi wa sasa) ameanza kabla ya Yono ambae kitaalam ni mhasibu (bwana Yono Kivella)

Majembe mpaka sasa anatawala soko kwa kuwa na wateja wakubwa kama DAWASCO, TRA na SUMATRA.

Kila mteja mkubwa na wa kati akiuliza Auctioneers maarufu na mzuri basi anaambiwa kati ya hao wawili, ila Yono huwa anakuwa nyuma.

Ni hiyo "strong base" ya wateja na "connections" inamweka Majembe juu ya Yono ambae alianza shughuli hizo na mkewe Scholastica mwaka 1998.
 
Makampuni ya minada ni biashara kama zilivyo biashara nyingine..... Ili iweze kuitwa biashara ni lazima kuwe na pande mbili muuzaji na mnunuzi kisha ni lazima kuwe na faida! Hasara ni bahati mbaya...
Kwenye hili kuna kuzidiana uwezo, nguvukazi, weledi mtaji na umaarufu

Yono ni mojawapo ya kampuni kongwe za udalali Tanzania ikiwa imeshafanya kazi kubwa na ndogo, z serikali na za mashirika mbalimbali na hata watu binafsi.... Mpinzani mkubwa wa Yono ni Majembe... Hawa unaweza kuwaita watani wa jadi... Cha kushangaza ni kwamba hizi kampuni mbili za udalali umaarufu wao huenda sawa na vipindi vya urais.... Nifafanue hapa!
Yono alikamata soko wakati wa mzee Mkapa, Majembe akakamata soko wakati wa brother JK..... Kipindi cha JK Yono alikuwa hoi hasa alipigika... JK alimpiga Yono chini kutokana na past record ya kuvurunda sana.....
Baada ya JK kung'atuka, aliyemfuatia akaipiga Majembe chini... Na si kupigwa chini tu bali na yeye mali zake kupigwa mnada baada ya kushindwa kesi ya madai wakati huo akiwa ni mkamataji wa wrong parking kwa niaba ya halmashauri ya Kinondoni... Kwasasa Majembe is no more!

Yono alikuja na nguvu mpya, kwa kasi ya ajabu kabisa awamu hii ya 5..... Lakini tayari historia yake inajirudia kwa kasi... PROVING BIG FAILURE...!!!
Ishu ya mnada wa mali za Lugumi kama Yono angeifanikisha ingemjenga parefu sana... Lakini wote tumeshuhudia sinema mwanzo MWISHO wa ule mnada ulioshindikana mara zote
The same old story inajirudia kwenye mnada wa makasha 20 yenye samani mbalimbali za ofisini.....
. Je ni coincidence?
. Je ni maelekezo maalum?
. Je Yono hana uwezo?
. Je anatumiwa?
. Je anafaidika?
. Je anafaidikaje?
. Je.....!?
. Je....!?
. Je....!?
Kwa utendaji wa Yono na historia yake maswali ni mengi kuliko majibu ila kuepuka ramli chonganishi tuache muda utasema... Muda ni hakimu mzuri.. Hajawahi kumwangusha mtu...!!!!

KACHUMBARI YA SALO NA MBILIMBI
bia zimepanda bei... Hazijashuka...! Kama tulivyotangaziwa na wateule

Jr
Sawa bwana, kumbe ilikuwa ki-uuuu!
 
Yono level yake Ni minada ya kwenye Viccoba Na Saccoss kupiga Mnada Fridge, kitanda au gari!

Kwenye issue kubwa kubwa Za Minada Kama ya Lugumi, Mradi wa Nyumba Za NSSF Na huu wa Makonda kote ame prove failure lakin TRA Na TPA wamemng'ang'ania
 
na imagine hiyo siku Majembe anapigiwa vitu vyake mnada tena na Yono...

'alivyokuwa anambembeleza mzee Kivela...

"naomba usiuze Mali yangu,nitalipa hilo deni nivumilie ndugu yangu..!!'

Yono kwa uzoefu wa udalali anamjibu Majembe 'Mimi ni dalali tu, sina namna...nitakupa kazi ya kufanya kwangu.'
 
KACHUMBARI YA SALO NA MBILIMBI
bia zimepanda bei... Hazijashuka...! Kama tulivyotangaziwa na wateule
emoji15.png
emoji15.png
emoji24.png
emoji24.png
emoji24.png
emoji124.png
emoji124.png
emoji124.png
emoji124.png
Inasikitisha sana.
 
na imagine hiyo siku Majembe anapigiwa vitu vyake mnada tena na Yono...

'alivyokuwa anambembeleza mzee Kivela...

"naomba usiuze Mali yangu,nitalipa hilo deni nivumilie ndugu yangu..!!'

Yono kwa uzoefu wa udalali anamjibu Majembe 'Mimi ni dalali tu, sina namna...nitakupa kazi ya kufanya kwangu.'
hatari mkuu usiombe yakukute
 
na imagine hiyo siku Majembe anapigiwa vitu vyake mnada tena na Yono...

'alivyokuwa anambembeleza mzee Kivela...

"naomba usiuze Mali yangu,nitalipa hilo deni nivumilie ndugu yangu..!!'

Yono kwa uzoefu wa udalali anamjibu Majembe 'Mimi ni dalali tu, sina namna...nitakupa kazi ya kufanya kwangu.'
hapana aliyefanya ule mnada nadhani alikuwa Tambaza

Jr
 
Back
Top Bottom