CC: Anastasia21 🤣Watoto wa 2000 piteni tu kimyakimya hamna cha kuchangia
Ningekuwa na pesaEnzi zile yuko na kundi la soukous stars mwanamama huyu akiwa na umri kama miaka 40+ alikuwa ana uwezo wa kukata kiuno balaa, hawa kina luiza mbutu wakasome. Huyu mama sijui kapotelea wapi miaka hii? Enzi hizo miziki ya kizaire/kikongo ilikuwa imetawala anga la Tanzania
Umemsahau bozboziana1. Yondo Sister
2. Soukoss Stars
3. Gatho Beevans
4. Mbilia Bell
5. King kester Emeneya
6. Kanda Bongoman
7. Pepe Kale
8. Koffi Olomide (huyu dingi yupo vizazi vyote)
Bado tunaiga muziki ya nje muziki wa Amapiano (Kusini) na Afro Pop (Magharibi hasa Nigeria).Kipindi hicho hatuna identity ya muziki ilikuwa ni full miziki ya Congo na kuiga ya huko ukibadilisha sana unakwenda majuu; afadhali kabla (bendi zetu zilikuwepo)
Wabarikiwe sana madogo wa sasa atleast DJ asipoweka Jingle anaweza kucheza full playlist mwanzo mwisho Miziki ya ndani
Anyway kipindi hicho kilikuwa kipindi chao ila nadhani sasa hivi Bongo are better off; Kudos kwa Madogo wa Sasa...
Kwangu mimi ni Mbuta Mutu na BazoMbuta Mutu.. Kibao bomba sana
9. Zaiko Langa Langa - Nkolo Mboka1. Yondo Sister
2. Soukoss Stars
3. Gatho Beevans
4. Mbilia Bell
5. King kester Emeneya
6. Kanda Bongoman
7. Pepe Kale
8. Koffi Olomide (huyu dingi yupo vizazi vyote)
We have a choice now sio kama then.., ukiongelea sampling kila mtu anafanya hata mfalme wa POP Wacko Jacko alikuwa anafanya case in point Wanna be Startin' Somethin kwenye mamase mamasa makossa ni Manu Dibango..,Bado tunaiga muziki ya nje muziki wa Amapiano (Kusini) na Afro Pop (Magharibi hasa Nigeria).
Tofauti ya sasa na wakati huo, sasa mitaani, kwenye radio na TV tunapiga muziki wa wasanii wetu kuliko wa nje.
Wakati huo zilikuwepo bendi za muziki wa dansi wa kitanzania lakini zilianza kupoteza mvuto taratibu sababu ya kutopigwa Sana mitaani na redioni.
Wasanii wetu walichelewa kuiga kutengeneza video bora Kama wakongo, waafrika Kusini na wasanii wa Marekani na Ulaya.
Kweli.We have a choice now sio kama then.., ukiongelea sampling kila mtu anafanya hata mfalme wa POP Wacko Jacko alikuwa anafanya case in point Wanna be Startin' Somethin kwenye mamase mamasa makossa ni Manu Dibango..,
Anyway point kuu sasa hivi tuna export pia sio ku import pekee, kufanya kazi zetu zikasikilizwa worldwide hakuna tena wakati ambapo mziki wa ndani umetembea kama sasa... (Ingawa this might not be because of talent pekee bali teknolojia na uwezekano wa mtu kumpakulia mlaji directly kwenye sikio lake bila kupitia studio kubwa kubwa)
😂😂😂😂Anazeeka na utamu wake, Mbilia Beli ndo amekuwa mbibi kabisa umebaki mkorogotu
Yondo sister mi nilikuwa najua ndio Cynthia rothrockDada Yondo,aliyezaliwa Denise Kusala Yondo mnamo Aprili 23,1958, huko Bukavu, Zaire (sasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo), ni mwanamuziki mashuhuri wa Kongo anayejulikana kwa mchango wake katika muziki wa soukous na kwassa kwassa. Anatoka katika familia ya muziki yenye baba kutoka Kongo na mama wa Ubelgiji-Kongo.
Yondo alianza kazi yake mwaka wa 1975 akiwa na bendi ya Tabu Ley Rochereau, L'Afrisa International, pamoja na dadake Chantal Yondo. Hapo awali alipanga kuwa dansi, anamsifu Rochereau kwa kumtia moyo kuwa mwimbaji.
Yondo alijishughulisha na maisha ya peke yake mwaka wa 1982 na baadaye akajiunga na bendi ya Soukous Stars. Anaadhimishwa kwa vibao kama vile "Bazo na albamu kama vile "Derniere Minute" na Agenda".
Kwa sasa anaishi Paris, Sister Yondo anaendelea kutamba na muziki wa Kiafrika kwa sauti yake ya kipekee na uwepo wa jukwaa la kuvutia.
View attachment 3281158
Gono lilikuwepokipindi yutiyai sugu haijaingia mjini 😵😵
Hao wanaijua may day ya Fally Ipupa 🤣🤣🤣Watoto wa 2000 piteni tu kimyakimya hamna cha kuchangia
Hiyo video yake ya VHS ilipata sana shida kuangaliwa kwa jirani yangu mmoja tulipokuwa tunaenda kuangalia video
Inatutesa sana kwa kweli. Mimi ndio na_recover hapa.kipindi yutiyai sugu haijaingia mjini 😵😵
Hii noma kweli.