Yondo Sister: Malkia wa soukous

Yondo Sister: Malkia wa soukous

Inatutesa sana kwa kweli. Mimi ndio na_recover hapa.
Hiyo hamna ku recover. Hapo ni kama ipo flight mode. Yani imejizima data. Siku ukigusisha tu hiyooooo.

Vidonge vya siku hizi ni kama wanatengeneza permanent customers na sio permanent solution
 
Dada Yondo,aliyezaliwa Denise Kusala Yondo mnamo Aprili 23,1958, huko Bukavu, Zaire (sasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo), ni mwanamuziki mashuhuri wa Kongo anayejulikana kwa mchango wake katika muziki wa soukous na kwassa kwassa. Anatoka katika familia ya muziki yenye baba kutoka Kongo na mama wa Ubelgiji-Kongo.

Yondo alianza kazi yake mwaka wa 1975 akiwa na bendi ya Tabu Ley Rochereau, L'Afrisa International, pamoja na dadake Chantal Yondo. Hapo awali alipanga kuwa dansi, anamsifu Rochereau kwa kumtia moyo kuwa mwimbaji.

Yondo alijishughulisha na maisha ya peke yake mwaka wa 1982 na baadaye akajiunga na bendi ya Soukous Stars. Anaadhimishwa kwa vibao kama vile "Bazo na albamu kama vile "Derniere Minute" na Agenda".
Kwa sasa anaishi Paris, Sister Yondo anaendelea kutamba na muziki wa Kiafrika kwa sauti yake ya kipekee na uwepo wa jukwaa la kuvutia.

View attachment 3281158
Dah! Miaka inakimbia sana. Miaka ya 1993-94 Yondo Sister alikuwa ni habari ya mjini kwenye Video shows zilizokuwa zinakuja kijijini kwangu. Enzi hizo kiingilio ni shilingi 50 watoto, halafu wakubwa 100!

Kabla ya kuoneshwa picha kuu ya siku (mfano No retreat no surrender, Comandoo John, au zile muvi za Kichina za Shaolin Temple), tulikuwa tunapigwa na trailler kutoka kwa akina Aurlus Mabele na Loketo yake, Yondo Sister na Soukouss Stars, Pepe Kalle na Empire Bakuba, Boziboziana, nk.

Kwa kweli maisha yalikuwa ni matamu sana enzi zile.
 
Back
Top Bottom