Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,120
- 7,912
hiyo ego ndo inawafanya mjiue sasidhani ukiona ndoa ina matatizo miaka 4 ujue shida ni kubwa inawezekana ameshatoa malalamiko mpaka kwa ndugu ikashindikana.....kuna mambo mengine huwezi ongea hata kwa marafiki wa karibu badala ya kukusaidia watakucheka tu unaweza kumueleza rafiki yako wa karibu shida za ndoa yako akaishia kukutangaza na kukucheka
kumbe duhBaba mzazi wa Yona yupo vizuri sana kipesa pia hisipokua , alioa mke mwingine Yona na. Ndugu zake wa mama mmoja na mama Yao ambae ni mke wa ndoa wakatelekezwa baba akawa anajali zaidi watoto wa bi mdogo. watoto wote wa bi mdogo wamesoma University England na huko Tanzania walisoma feza international baba yake Yona ndio yule mmiliki wa Fares Kisingo international school (Fk international ) mbezi beach
Wewe uliona wapi mwanaume anasifia ati anapewa mamilioni na mwanamke kama siyo rimarioo tu! Halafu hapa JF kila uzi ni kupinga Serikali ya Magu as if ndiyo ilimfanya marioo! Kitu nimegundua hapa JF upinzani ni hasira, ukiona mtu anapiga madongo Serikali jua kuna pahala amekwazika na lawama anazishusha kwa Serikali. Sijawahi kuona maishani Mwananchi anaomba nchi yake inyimwe misaada na itengwe! Huku ni kutoona mbali kwani atakayeumia mwisho wa siku si kiongozi ni sie makasembele! Good morning
RIP Muasisi wa kuunganisha Wachaga. It is through Wanabidii, wachaga wamelishwa sumu ya kuichukia Tanzania na Moshi.Kuna taarifa kuwa Yona F. Maro ambaye ni mwanaJF na muasisi wa Wanabidii, Google Group amefariki dunia jana tarehe 12 January 2018.
Mazishi yatafanyika Jumatatu tarehe 15 Januari Kijijini kwao Mowo, Old Moshi - Kilimanjaro.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa Jina Lake lihimidiwe.
Natoa pole kwa familia, ndugu na jamaa wa karibu wa marehemu
Chanzo ni ukurasa wa Facebook wa dada yake na Yona: Janet Fares Maro
Mwanamke kazaliwa na shahawa za mwanaume?????!!!!!!
Hebu kamwage hizo shahawa zako kwenye kiota afu usubiri mwanamke azaliwe
Mwanamume anakula mshaara wake wotena ndugu ?kweli ?tafakari wanaume ni wajanja sana.ongezea na uchoyo, yaani mimi MR , tarehe tano tu mwanzo wa mwezi kabisa hana hata mia,
mshahara wote akipata anagawanya kwa ndugu zake hata yeye mwenyewe anajisahau atakula nini, hapa nyumbani kama usiponunua chakula hamli nakwambia,basi nilifanya kama naishi mwenyewe tu, mipango ya maendeleo na bajeti nzima ya nyumbani napanga kwenye mshahara wangu, na toka nimeamua kufanya hivyo aah moyo wangu umetulia na mbambo yaenda vizuri tu
yupoYule jamaa vp?!
yupo
ukute hata yeye alishawahi sema hivyo
Kweli kabisa. Ila bora kajitoa kuokoa ndoa zingine.mganga hajigangi ati
Poleni wote mlioguswa na msiba huu.
Fundisho kubwa hapa ni KUPAMBANA na hali yako.....iwe ni hali ya kiuchumi, mahusiano, etc; PAMBANA bila kuchoka na ikibidi omba msaada kuepusha haya yaliyomkuta marehemu.
Naona rip rip source sijuwiMh huenda ni ishu ya assassination eti? Niseme tu sie binadamu tumefungwa mambo mengi sana, hapa tunalaumu tu ila huenda kuna watu wakisoma hii sredi wanacheka tu the deal was done successfully!
Maana tumeingizwa na miguu yote Mia dadeki