Yezebeli na kifo cha aibu

Yezebeli na kifo cha aibu

Mudawote

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
11,570
Reaction score
16,017
GTs,
Naona mambo yanaenda kuwa mabaya. Yezebeli alitumia vyombo vyake vyote kuhakikisha anaangamiza waliotumwa na Mungu kumletea ujumbe, ila mwisho wa siku yeye alivyofariki mwili wake ulikuwa chakula cha mbwa na jamaa zake wote waliliwa kama mizoga. 1 Wafalme 21:23-24. Ukiwa na madaraka ni muhimu kuwa na masikio ya kusikia
 
Kwa Bwana Yesu Kila Goti Litapigwa
Kwa Vitu Vya Duniani Na Mbinguni
 
Back
Top Bottom