Bengalisis
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 1,851
- 2,771
Imeandikwa, msifungiwe nira na asiye amini kwa maana hakuna shirika kati ya Nuru na GizaKama umependa mtu dini haiwezi kuwa kipingamizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Imeandikwa, msifungiwe nira na asiye amini kwa maana hakuna shirika kati ya Nuru na GizaKama umependa mtu dini haiwezi kuwa kipingamizi
Madhebu yote hayo ni agizo la binadamu sio Allah,soma historia utaelewa be Muslim kila kitu kitakuwa OK.Anasema hayupo tayari kuhamia Lutheran.
Anadai abaki kwenye dhehebu lake na mimi nibaki kwenye dhehebu langu hata tutakapoingia kwenye ndoa.
Wakuu hali kama hii si kukaribisha migogoro ya hapo baadae?
Ushauri
ha ha ha ha hayo maandiko yameletwa na wageni ili watutawale tu kwa hiyo tusiyaamini sana yakatuharibia maisha.Imeandikwa, msifungiwe nira na asiye amini kwa maana hakuna shirika kati ya Nuru na Giza
Sent using Jamii Forums mobile app
Wageni wao waliyatoa wapi?ha ha ha ha hayo maandiko yameletwa na wageni ili watutawale tu kwa hiyo tusiyaamini sana yakatuharibia maisha.
Kwani waislam hawana madhehebu?Madhebu yote hayo ni agizo la binadamu sio Allah,soma historia utaelewa be Muslim kila kitu kitakuwa OK.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kujiuliza swali wakena Vasco Da gama walifikaje Afrika?
Kwa maana hiyo wewe huu uzi hata haukuhusuha ha ha ha hayo maandiko yameletwa na wageni ili watutawale tu kwa hiyo tusiyaamini sana yakatuharibia maisha.
Au vitabu vinavyofundisha upasuaji vimeandikwa na nani?
Hapana,waoane tu,mambo ya dini waweke pembeni
Kwa sababu wewe huamini hauwezi kuona uhusiano wa imani na ndoa kwa hiyo kaa tu kimya unaongea usichokijuaHapana,waoane tu,mambo ya dini waweke pembeni
Kwani waislam hawana madhehebu?
Maendeleo hayana chama
Kwa hiyo wale wanaoishi kwenye ndoa wakiwa na imani tofauti,inakuwaje?Kwa sababu wewe huamini hauwezi kuona uhusiano wa imani na ndoa kwa hiyo kaa tu kimya unaongea usichokijua
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kuelewa, unajua hata imani ni nini?Kwa hiyo wale wanaoishi kwenye ndoa wakiwa na imani tofauti,inakuwaje?
Cha muhimu ni upendo tu,hayo mengine ni mbwembwe tu.
Unaona ni mbwembwe kwa vile hayana nafasi kwako, wengine imani ndio jambo la kwanza kabla ya yoteCha muhimu ni upendo tu,hayo mengine ni mbwembwe tu.
Ni kweli ukitaka uwe mtumwa wa kisaikolojia katika dunia hii,jikite zaidi kwenye imaniUnaona ni mbwembwe kwa vile hayana nafasi kwako, wengine imani ndio jambo la kwanza kabla ya yote
Sent using Jamii Forums mobile app
Baba, usiku mwemaNi kweli ukitaka uwe mtumwa wa kisaikolojia katika dunia hii,jikite zaidi kwenye imani
Tena sio migogoro tu bali hata vita vya kidiniAnasema hayupo tayari kuhamia Lutheran.
Anadai abaki kwenye dhehebu lake na mimi nibaki kwenye dhehebu langu hata tutakapoingia kwenye ndoa.
Wakuu hali kama hii si kukaribisha migogoro ya hapo baadae?
Ushauri
Kwa hio sunni, Shia, bohora, qadiriya, ibadhi, wote ni sawa kwa kua misingi ya imani wote ni ileile nguzo 5?Hakuna dhehebu misingi ya imani ni ileile nguzo5 za uislamu adhana ni ileile.
Ukiona MTU anajinasibisha na dhehebu huyo c muislamu,Mtume wa Allah mpaka anafariki aliacha Quran,hadithi(simulizi za visa vya ukweli) na sunnah zake tu.
Sent using Jamii Forums mobile app