Yeye anakula bata huku, Simpendi Huyu Mwanamke!

Yeye anakula bata huku, Simpendi Huyu Mwanamke!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,838
Watu wake wanapigwa risasi kama ng'ombe tena wakiwa kanisani kwenye Ibada yeye yuko Ulaya anakula bata na kutangaza mambo ya fashion huyu mama sijui.

Baraka Obama alimpata wapi khaa!
Naamini ni first lady bogus na asiye madili kuliko ma first ladies wote waliowahi kutokea Marekani.


obama.jpg
ob.jpeg

michelle-obama-ugly-shorts-2.jpg

michele.jpg
 
Hawa watu ni wauaji Tangu zamani na ukiangalia huyu mama hana lolote la kufanya maana mume wake anajua asipotii matakwa ya wauaji wakuu hao watamuua sasa yeye yupo tu kama robot...
 
kuna majitu mapunguwani sana..yaani walitaka afanyeje saa?mbona huyu wenu watu wanakufa kwnye mafuriko na ajali kila kukicha lakini haonekani kutwa yuko busy na mambo ya wama na kupiga hela
 
kuna majitu mapunguwani sana..yaani walitaka afanyeje saa?mbona huyu wenu watu wanakufa kwnye mafuriko na ajali kila kukicha lakini haonekani kutwa yuko busy na mambo ya wama na kupiga hela

Labda alitaka akae mlangoni pale hamzuie yule dogo kuuwa watu hapo kanisani

Mie naona jamaa kama ana kawivu flani cha kike
 
kuna majitu mapunguwani sana..yaani walitaka afanyeje saa?mbona huyu wenu watu wanakufa kwnye mafuriko na ajali kila kukicha lakini haonekani kutwa yuko busy na mambo ya wama na kupiga hela

Mkuu, labda mleta mada angetueleza alitaka first lady afanye nini..? Maana kuishia kumlaumu bila kutuambia ulitakaje haimsaidii! Na je first lady ana influence gani ktk hilo jambo la watu waliouawa kanisani..?!
 
Mkuu, labda mleta mada angetueleza alitaka first lady afanye nini..? Maana kuishia kumlaumu bila kutuambia ulitakaje haimsaidii! Na je first lady ana influence gani ktk hilo jambo la watu waliouawa kanisani..?!

Aonyeshe kusikitishwa na kitendo hicho (sympathy), kwanza kwa kukatisha ziara yake na kurudi US. Pili kutoa tamko la kuonyesha kukerwa na mauaji hayo, kama alivyooyeshwa kukerwa na utekanji nyara uliofanywa na Boko Haramu dhidi ya watoto wa Nigeria. Kwenye suala la Boko haramu alijitolea kupigwa picha akiwa ameshikilia 'placard' yenye maneno 'Bring back our girls' kama sijakosea.
 
Aonyeshe kusikitishwa na kitendo hicho (sympathy), kwanza kwa kukatisha ziara yake na kurudi US. Pili kutoa tamko la kuonyesha kukerwa na mauaji hayo, kama alivyooyeshwa kukerwa na utekanji nyara uliofanywa na Boko Haramu dhidi ya watoto wa Nigeria. Kwenye suala la Boko haramu alijitolea kupigwa picha akiwa ameshikilia 'placard' yenye maneno 'Bring back our girls' kama sijakosea.

hapana akifanya hivyo atakuwa anahimiza huo ubaguzi...Kwa sababu yeye pia ni mweusi

Huyu mwanamke ametoka mbali sana na Barack
 
Nigeria ilikuwa mambo ya Racism?
Kwa hiyo kwa kuwa Wazungu ndiyo wanatekeleza u'racism' kwa kuua watu wenye rangi ya kahawia basi Bibi Obama asisikitishwe na mauaji hayo...!?. Ebu mkuu kama una nafasi nifafanulie kwa kina kwa nini Bibi Obama kuonyesha kusikitishwa na kulaani mauaji ya African- Americans kutachochea Ubaguzi. Yaani hapa mimi sijakuelewa kabisa....nisaidie nikuelewe.
 
Rais Obama alitoa tamko kwahiyo hakukuwa na sababu ya mama kutoa tamko. Pia kwa suala la Nigeria ile ilikuwa nikama utetezi wa mtoto wa kike. Ndomaana alijitokeza kupigwa picha na bango lenye ujumbe kama huo.
 
Kwa hiyo kwa kuwa Wazungu ndiyo wanatekeleza u'racism' kwa kuua watu wenye rangi ya kahawia basi Bibi Obama asisikitishwe na mauaji hayo...!?. Ebu mkuu kama una nafasi nifafanulie kwa kina kwa nini Bibi Obama kuonyesha kusikitishwa na kulaani mauaji ya African- Americans kutachochea Ubaguzi. Yaani hapa mimi sijakuelewa kabisa....nisaidie nikuelewe.

Kwa position ya first family inatakiwa ku treat watu wote equally

Rais anatosha kutoa kauli ku condemn mauaji hayo

Kitendo cha first lady kuahirisha ziara for this case ita propagate hio agenda ya Racism.....Kutokana na position yake

Usidhani kuwa eti anafurahia hayo mauaji

Its about PR
 
Na ilikuwa kupinga unyanyasaji wa mtoto wa kike. Hili nitofauti na ubaguzi wa rangi nchini Marekani. Ubaguzi wa rangi America nisuala mtambuka ambalo linaitaji umakini sana si kukurupuka kutoa matamko. Nijambo la kiserikali zaidi kwahiyo mama Obama alimwachia Rais maana ndo mwenye dhamana na watu wote wa Marekani.
 
Fatilia ya Salma Kikwete achana na Obama au we Mmarekani
 
Watu kumbe mnafuatilia sana yajiriyo Marekani eeh?

Hadi mnakasirishwa na mambo ya FLOTUS.

USA baby:usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2:
 
Mind your own business,nchi yenu masikin Lakin mkuu kila siku yuko Nje,magari na posho kwa viongoz ni juu uko kwenu,fatiliaa matatizo ya kwenu
 
Mkuu, labda mleta mada angetueleza alitaka first lady afanye nini..? Maana kuishia kumlaumu bila kutuambia ulitakaje haimsaidii! Na je first lady ana influence gani ktk hilo jambo la watu waliouawa kanisani..?!
Na jinsi Nchi ya marekani ilivyokubwa sijui huyu mama akae wapi na mizinga au makombora au AK47 awe anapambana na hawa wauwaji! Halafu pia huyu mama anaulinzi wa hali ya juu hawezi kuzurula kama hawa magaidi.
 
Back
Top Bottom