chabuso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 6,380
- 5,871
Hii itakuwa mara ya Pili, inawezekana yuko mwengine anakujaMara ya ngapi!
Hii itakuwa mara ya Pili, inawezekana yuko mwengine anakujaMara ya ngapi!
Haha huyo yesu feki anaahidi watu miujiza ya kuwaponya alafu yeye anakufa kwa ugonjwa si ufala huo sasa!? 😂
Mara ya ngapi!
Huyo jamaa kafanana na aliyeigiza filamu ya maisha ya yesuSomeni story nzima jamaa mwenyewe kasema hajadai mahali popote kuwa yeye ni Yesu. Tatizo waafrika kukurupuka tu!!! Jamaa alikuwa anaigiza maisha ya Yesu. Jinsi alivyofanana na ile picha ya maisha ya Yesu wakadhani ni yeye. Ukweki ni kuwa yeye ndiye aliyeigiza ile filamu ya maisha ya Yesu. Hebu tujiulize swali "Hivi Yesu anafanan na huyo mu kweli?" Hakuna aliyemwona Yesu akajua alivyo zaidi ya watu kudhani yuko kama yule muigizaji!!!! Soma hii story https://www.foxnews.com/faith-value...sus-imposter-after-visit-to-africa-goes-viral
Huyo jamaa kafanana na aliyeigiza filamu ya maisha ya yesu
Ila siyo aliyeigiza ile filamu
Muigizaji nadhani sasahivi ni mzee hawezi kuwa na muonekano uleule
kwanza aliyewaaminisha yesu ni white caucasian ni nani?yesu mweusi na kipilipili cha kisomali"Aliyevalia kama yesu wa ukweli"
Huyo yesu wa ukweli mlimuona? Au bado mnapagawishwa na yule mcheza movie wa passion