Huyo ni yesu wa Kenyakwanza aliyewaaminisha yesu ni white caucasian ni nani?yesu mweusi na kipilipili cha kisomali
OK. Ila nimegoogle wako wengi kumbe!!!Huyo jamaa kafanana na aliyeigiza filamu ya maisha ya yesu
Ila siyo aliyeigiza ile filamu
Muigizaji nadhani sasahivi ni mzee hawezi kuwa na muonekano uleule
Hajafa ni fake news kama hizi zilizosema kajidai kuwa yeye ni yesu. Yeye alienda kenya kufanya uinjilisiti. Huyu hapa akihubiriNmesikia eti ajafa,
Ndiyo kitu cha ajabu hicho. Na Mungu ametukataza katika amri ya kwanza kabisa.Mbona tunaipigia picha yake magoti!!!
Nadhani a aweza sasa kukutana na Yesu halisi na kuulizwa swali moja la msingi ambalo ni.
....unakumbuka matendo yako?
Huyu Ayo naye anazidi kupoteza credibility... Naye ameingia kwenye cheap propaganda namna hii!! Kweli TZ hatuna media house zenye uweledi