Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Tunafuatanaga pmWale ambao hatuna hao kina Valentine sijui kina nani tuna comment wapi??Comment ziwe fupi fupi jamani
My x husbandhuyu anaonekana ni mgeni humu.. ila tumuombee aolewe mapema
..long time no see youAisee kumbe kuna member wanamiliki mpaka mademu wa4 kwa wakati mmoja na wote wanajuana...mm nikiwafuata PM wanaishia kupokea salamu tu baada ya hapo umuoni tena..
Kweli uchawi upo!!
Sent using Jamii Forums mobile app




Unataka kuniaminisha jf kuna mwanamke yupo single??Wale ambao hatuna hao kina Valentine sijui kina nani tuna comment wapi??Comment ziwe fupi fupi jamani
Aisee kumbe kuna member wanamiliki mpaka mademu wa4 kwa wakati mmoja na wote wanajuana...mm nikiwafuata PM wanaishia kupokea salamu tu baada ya hapo umuoni tena..
Kweli uchawi upo!!
Sent using Jamii Forums mobile app


ni utani tu chief usichukulie serious kila kitu unachokiona mtandaoniMkuu nimevunjika moyo kabisa..nimepoteza matumaini ya kupata mrembo jf.ni utani tu chief usichukulie serious kila kitu unachokiona mtandaoni


ni utani tu chief usichukulie serious kila kitu unachokiona mtandaoni
Usiwe mgumu mgumu sasa



Sasa niweje mkuu maana sipatagi ata chance ya kuombwa elaUsiwe mgumu mgumu sasa![]()
Haaa,wacha wee ebu nitumie kwanza ya valentine tuanze basi
Utapata tu mkuu. Hebu niambie umempenda mrembo gani nikupe chap kwa haraka maana wote nawamiliki mimi.Mkuu nimevunjika moyo kabisa..nimepoteza matumaini ya kupata mrembo jf.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka kumpora mmoja..embu nichagulie kwenye hyo 4 nitoke na namba ipiNadhani hata yeye kakomenti kwa utani hawezi kuwa na akili ndogo namna hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app