YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Watanzania wengi wanataka kuuza vitu masoko na maduka ya mitandaoni kama Amazon, Ebay n.k
Yericko Nyerere, huwa unalipwaje ukiuza kitabu chako cha ujasusi wa kiuchumi kwenye duka la Mtandaoni la Amazon; yaani pesa zako huwa unazipataje, kwa Paypal au njia ipi mteja aki-click na kununua?
Sababu Watanzania wengi wangependa kuuza vitu online tatizo liko kwenye njia za kulipwa online. Serikali haijaruhusu njia rahisi ya haraka na nafuu ya Paypal.
Tupe uzoefu wako unalipwaje ukiuza nakala za kitabu chako online duka la Amazon.
Yericko Nyerere, huwa unalipwaje ukiuza kitabu chako cha ujasusi wa kiuchumi kwenye duka la Mtandaoni la Amazon; yaani pesa zako huwa unazipataje, kwa Paypal au njia ipi mteja aki-click na kununua?
Sababu Watanzania wengi wangependa kuuza vitu online tatizo liko kwenye njia za kulipwa online. Serikali haijaruhusu njia rahisi ya haraka na nafuu ya Paypal.
Tupe uzoefu wako unalipwaje ukiuza nakala za kitabu chako online duka la Amazon.